Aliyewai kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula, ambaye pia ni Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake, Amani na Usalama, ameeleza kupokea kwa mshtuko kifo cha Mbunge wa Isimani, William Lukuvi.
Akizungumzia msiba huo leo...
Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge ametaja baadhi ya mambo yanayochangia magonjwa ya moyo, ikiwemo unywaji wa pombe uliokithiri, matumizi ya sigara, pamoja na ulaji wa mafuta ya wanyama.
Akizungumza katika Tawi la JKCI Kariakoo, Machi 19, 2026, wakati...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imesema inafurahishwa na uwekezaji unaoendelea kufanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Kamati hiyo imeeleza kuwa kwa sasa taasisi hiyo ina maabara pamoja na mitambo ya kisasa ya upasuaji na vipimo vya magonjwa ya moyo...
Ni simulizi nzito ambazo wahudumu wa afya hukutana nazo mara chache lakini huziacha alama kubwa moyoni. Wakati mwingine, furaha ya kuzaliwa kwa mtoto hubadilika ghafla kuwa majonzi pale mama anapopoteza maisha wakati wa kujifungua.
Kwa madaktari na wauguzi katika Hospitali ya Rufaa ya...
Makala sehemu ya pili
Kwa akina Mama wengi, ujauzito na kujifungua ni safari inayohitaji utulivu wa akili na uhakika wa huduma bora za afya. Hata hivyo, kwa baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam, furaha ya kumpokea mtoto imegeuka kuwa mzigo wa hofu na mshtuko wa kifedha, baada ya kujikuta...
Kuelekea kilelele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayoadhimishwa kesho Machi 8, 2026, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula amesema anaungana na Wanawake wengine hususani wa Afrika kukemea vitendo vya unyanyasaji...
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt. Anna Henga, amesema kuwa kati ya manusura 10 wa matukio ya ukatili wa kijinsia, saba ni wanawake.
“Changamoto bado ni kubwa, na ukatili huo unaonekana kutokea zaidi katika kundi la wasichana na wanawake wenye umri wa miaka 15 hadi...
Utoaji mimba usio salama ni mojawapo ya changamoto ya kiafya ambayo kwa Tanzania haiwekwi wazi kutokana na mazingira, Sheria na taratibu zilizopo nchini pamoja na ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi, umaskini na unyanyapaa wa kijamii kuhusu dhana ya utoaji mimba.
Dhana ya Utoaji Mimba Usio Salama...
Makala👇🏼
Simulizi za akina mama Waliojifungua kwa Upasuaji (Dar);
Licha ya Serikali kusisitiza kuwa wajawazito hawapaswi kutozwa gharama wakati wa kujifungua, hali ni tofauti kwa baadhi ya wanawake wanaojifungua kwa upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili pamoja na baadhi ya hospitali...
Mkurugenzi wa Kampuni ya Nesch Mintec Private Limited, Happiness Nesvinga, amesema kuwa biashara ya madini inahitaji mtaji; hivyo, kujitoa kwa Benki ya CRDB kutasaidia wachimbaji wengi.
Aidha, amesema kuwa ili uchimbaji uweze kufanyika, suala la vipimo ni muhimu kuzingatiwa kwa kuwa ndilo...
Mkurugenzi wa Kampuni ya Nesch Mintec Private Limited, Happiness Nesvinga, amesema kuwa biashara ya madini inahitaji mtaji; hivyo, kujitoa kwa Benki ya CRDB kutasaidia wachimbaji wengi.
Aidha, amesema kuwa ili uchimbaji uweze kufanyika, suala la vipimo ni muhimu kuzingatiwa kwa kuwa ndilo...
Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika wa Masuala ya Wanawake, Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula, ametoa salamu za rambi rambi, kufuatia kifo Cha Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Kardinali Pengo, kilichotokea usiku wa kuamkia leo.
Balozi Mulamula ametoa salama hizo leo...
Kesi ya wizi wa mali na kuvunja duka inayomkabili Nasri Lawrence, ambaye pia anakabiliwa na shtaka la uhaini, imeendelea tena Jumatano, Februari 18, 2026 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Hassan Makube.
Akizungumza na Waandishi wa habari mahakamani hapo, Wakili...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na utendaji wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) katika kusimamia mifumo ya kidijitali ya ufuatiliaji wa mabasi, ikisema hatua hizo zimeanza kuleta matokeo chanya katika kudhibiti ajali barabarani.
Akizungumza Feburuari 16, 2025...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.