Recent content by News Tz1

  1. N

    Balozi Mulamula: Nitamkumbuka Lukuvi kwa malezi yake Bungeni, kifo chake ni pigo kubwa kwa Taifa

    Aliyewai kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula, ambaye pia ni Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake, Amani na Usalama, ameeleza kupokea kwa mshtuko kifo cha Mbunge wa Isimani, William Lukuvi. Akizungumzia msiba huo leo...
  2. N

    Dkt. Peter Kisenge: Unywaji wa pombe uliokithiri unachangia magonjwa ya moyo

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge ametaja baadhi ya mambo yanayochangia magonjwa ya moyo, ikiwemo unywaji wa pombe uliokithiri, matumizi ya sigara, pamoja na ulaji wa mafuta ya wanyama. Akizungumza katika Tawi la JKCI Kariakoo, Machi 19, 2026, wakati...
  3. N

    Kamati ya Bunge yapongeza uwekezaji wa vifaa vya kisasa JKCI

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imesema inafurahishwa na uwekezaji unaoendelea kufanyika katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Kamati hiyo imeeleza kuwa kwa sasa taasisi hiyo ina maabara pamoja na mitambo ya kisasa ya upasuaji na vipimo vya magonjwa ya moyo...
  4. N

    Jinsi Hospitali ya Mwananyamala ilivyopunguza vifo vya kinamama na watoto wakati wa Uzazi

    Ni simulizi nzito ambazo wahudumu wa afya hukutana nazo mara chache lakini huziacha alama kubwa moyoni. Wakati mwingine, furaha ya kuzaliwa kwa mtoto hubadilika ghafla kuwa majonzi pale mama anapopoteza maisha wakati wa kujifungua. Kwa madaktari na wauguzi katika Hospitali ya Rufaa ya...
  5. N

    Makala: NHIF na gharama za upasuaji wa kujifungua

    Makala sehemu ya pili Kwa akina Mama wengi, ujauzito na kujifungua ni safari inayohitaji utulivu wa akili na uhakika wa huduma bora za afya. Hata hivyo, kwa baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam, furaha ya kumpokea mtoto imegeuka kuwa mzigo wa hofu na mshtuko wa kifedha, baada ya kujikuta...
  6. N

    Siku ya Wanawake Duniani : Balozi Mulamula aungana na Wanawake Afrika kupinga Unyanyasaji, Machafuko na Vita

    Kuelekea kilelele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayoadhimishwa kesho Machi 8, 2026, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula amesema anaungana na Wanawake wengine hususani wa Afrika kukemea vitendo vya unyanyasaji...
  7. N

    Dkt. Anna Henga (LHRC): Kati ya manusura 10 wa matukio ya ukatili wa kijinsia, 7 ni wanawake

    Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt. Anna Henga, amesema kuwa kati ya manusura 10 wa matukio ya ukatili wa kijinsia, saba ni wanawake. “Changamoto bado ni kubwa, na ukatili huo unaonekana kutokea zaidi katika kundi la wasichana na wanawake wenye umri wa miaka 15 hadi...
  8. N

    Utoaji wa mimba usio salama una athari kubwa kiafya, kisaikolojia, kijamii na kiuchumi

    Utoaji mimba usio salama ni mojawapo ya changamoto ya kiafya ambayo kwa Tanzania haiwekwi wazi kutokana na mazingira, Sheria na taratibu zilizopo nchini pamoja na ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi, umaskini na unyanyapaa wa kijamii kuhusu dhana ya utoaji mimba. Dhana ya Utoaji Mimba Usio Salama...
  9. N

    Dar: Gharama zinavyowaweka njiapanda akina Mama wanaojifungua kwa upasuaji

    Makala👇🏼 Simulizi za akina mama Waliojifungua kwa Upasuaji (Dar); Licha ya Serikali kusisitiza kuwa wajawazito hawapaswi kutozwa gharama wakati wa kujifungua, hali ni tofauti kwa baadhi ya wanawake wanaojifungua kwa upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili pamoja na baadhi ya hospitali...
  10. N

    Mkurugenzi wa Kampuni ya Nesch Mintec Private Limited asisitiza umuhimu kuzingati vipimo kwenye uchimbaji wa madini

    Mkurugenzi wa Kampuni ya Nesch Mintec Private Limited, Happiness Nesvinga, amesema kuwa biashara ya madini inahitaji mtaji; hivyo, kujitoa kwa Benki ya CRDB kutasaidia wachimbaji wengi. Aidha, amesema kuwa ili uchimbaji uweze kufanyika, suala la vipimo ni muhimu kuzingatiwa kwa kuwa ndilo...
  11. N

    Mkurugenzi wa Kampuni ya Nesch Mintec Private Limited asisitiza umuhimu kuzingati vipimo kwenye uchimbaji wa madini

    Mkurugenzi wa Kampuni ya Nesch Mintec Private Limited, Happiness Nesvinga, amesema kuwa biashara ya madini inahitaji mtaji; hivyo, kujitoa kwa Benki ya CRDB kutasaidia wachimbaji wengi. Aidha, amesema kuwa ili uchimbaji uweze kufanyika, suala la vipimo ni muhimu kuzingatiwa kwa kuwa ndilo...
  12. N

    Balozi Mulamula : Kardinali Pengo hakusita kukemea maovu kama rushwa na uchochezi wa migogoro, alitetea haki za kijamii

    Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika wa Masuala ya Wanawake, Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula, ametoa salamu za rambi rambi, kufuatia kifo Cha Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Kardinali Pengo, kilichotokea usiku wa kuamkia leo. Balozi Mulamula ametoa salama hizo leo...
  13. N

    Mashahidi watatu watoa ushahidi kwenye kesi ya mshtakiwa wa uhaini aliyefunguliwa kesi ya wizi wa mali

    Kesi ya wizi wa mali na kuvunja duka inayomkabili Nasri Lawrence, ambaye pia anakabiliwa na shtaka la uhaini, imeendelea tena Jumatano, Februari 18, 2026 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Hassan Makube. Akizungumza na Waandishi wa habari mahakamani hapo, Wakili...
  14. N

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu: Madereva wanaochezea mifumo ili kukwepa uthibiti barabarani wachukuliwe hatua

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na utendaji wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) katika kusimamia mifumo ya kidijitali ya ufuatiliaji wa mabasi, ikisema hatua hizo zimeanza kuleta matokeo chanya katika kudhibiti ajali barabarani. Akizungumza Feburuari 16, 2025...
Back
Top Bottom