Dkt. Mashingo Lerise kutoka Marie Stopes Tanzania (MSI) ametoa wito kwa jamii, hususan vijana, kuwa makini na taarifa za afya ya uzazi wanazokutana nazo kwenye mitandao ya kijamii. Amesisitiza umuhimu wa kuhakiki taarifa hizo kabla ya kuziamini ili kuepuka taarifa zinazopotosha na zisizo na...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara, ameielekeza Mamlaka ya Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (TASAC) kuhakikisha inatekeleza kwa ufanisi majukumu yake ya kusimamia na kudhibiti sekta ya usafirishaji, ili kuchangia zaidi katika maendeleo ya kilimo, uvuvi na ukuaji wa uchumi wa...
Dodoma: Serikali inatarajiwa kuanza ujenzi wa kiwanda cha mbolea hai katika Kijiji cha Nyamatara, Misungwi, Mkoa wa Mwanza, kwa lengo la kuongeza upatikanaji wa mbolea kwa wakulima wa pamba na hivyo kuongeza tija katika uzalishaji wa zao hilo.
Hayo yameelezwa na Mhandisi Mkuu wa Bodi ya Pamba...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameziagiza mamla zinazohusika na uratibu wa mabasi hayo, kuhakikisha zinaongeza idadi ya mabasi katika maeneo ambayo yanauhitaji mkubwa.
Ametoa agizo hilo Agosti 7, 2026 katika hafla ya kufungua na kutembelea mradi wa mabasi...
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetangaza fursa 12 zitakazotokana na Tanzania kuwa mwenyeji mwenza wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika AFCON 2027 ambazo zitafungua zaidi milango ya maendeleo ya uchumi, ajira, biashara, utalii na uwekezaji nchini.
Akizungumza kuhusu fursa hizo, Mkuu wa...
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeeleza wasiwasi wake kuhusu kukamatwa kwa wahadhiri watatu wa vyuo vikuu, huku mmoja wao akifunguliwa kesi ya ugaidi na wengine wawili wakiendelea kushikiliwa bila maelezo. Umesema hali hiyo inaweza kuwa na athari kwa taaluma na kuathiri...
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali imeendelea kuwawezesha wabunifu wanaoibuka kwa kuwawekea mazingira rafiki, ikiwemo kuwapatia rasilimali fedha ili kukuza bunifu zao.
Prof. Mkenda amesema hayo wakati akitangaza kuwa Maadhimisho ya Wiki ya Taifa ya...
Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi kwenye mkutano wa watetezi wa haki za binadamu ambao ni wanachama wa Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu Tanzania (THRDC).
Fuatilia
https://www.youtube.com/live/PAgUqKix-FA?si=qmd6adR9dT-sOgUH
Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa, amechangia hoja iliyoibuliwa na mdau katika jukwaa la JamiiForums.com kuhusu wimbi la watoto wadogo kutolewa vijijini na kupelekwa mijini kwa ajili ya kufanyishwa kazi, ikiwemo kuuza mayai mitaani...
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu
(LHRC) kimelaani vikali hali ya kuendelea kushikiliwa kwa wananchi mbalimbali katika vituo vya Polisi nchini kwa muda mrefu bila kupatiwa dhamana au kufikishwa Mahakamani, licha ya baadhi yao kukabiliwa na tuhuma zinazoruhusu dhamana kwa mujibu wa sheria...
"Sio lazima CHADEMA wakisema tunakubali, tutakubali mambo ya CHADEMA ambayo yana make sense...kwa sababu huwezi kutulazimisha kuachia mtu ambae kesi yake inaendelea .tena yeye Tundu Lissu rafiki yangu..anajitetea mwenyewe, kila siku anaweka mapingamizi.."-Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara...
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, leo Julai 20, 2026 amefikishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dodoma kwa ajili ya kesi ya kikatiba inayohusu haki za Mawakili kupata faragha wanapokutana na Wateja wao waliopo gerezani.
Shauri hilo limefunguliwa na Mawakili Kulwa William...
Serikali imeeleza kuwa imepanga kutumia zaidi ya shilingi trilioni sita kujenga kipande cha sita cha Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Tabora hadi Kigoma.
Akizungumza katika Kipindi cha Jambo Wikendi cha TBC 1, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mhandisi Machibya Masanja, amesema...
Shangwe na makofi vilitawala ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, pale jina la Balozi Liberata Mulamula lilipotajwa kupokea Tuzo ya Uongozi Bora wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Benjamin Mkapa.
Ilikuwa ni heshima iliyotambua uongozi wake...
Mkurugenzi Mtendaji wa MiryMary Travel & Tour, Miriam Chikoti, amesema kampuni hiyo imefungua ofisi mpya zilizopo Mbezi Beach kwa Zena, katika jengo la J Four Plaza, kwa lengo la kuwasogezea huduma wananchi na kupunguza usumbufu unaotokana na kupata huduma za usafiri na utalii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.