Mambo vp guys...!!!
Ule mwendelezo wa hadithi tam y kusisimua nitaanza kuileta hivi punde.
Ni hadithi ya kweli inayonihusu mimi mwenyewe safari yangu ya kutoka dar es salaam Tz to South Africa na hadi hapa nilipo.
Nikiwa km mchambuzi mkuu,
Nimejaribu kuyatizama haya majina huko Facebook ambayo inasadikika kuwa sio sahihi, lkn nimekuta mamia ya watu wanayatumia ndani na nje ya Africa!
Sasa bas" ili kuepuka sintofaham, unatakiwa kuzipitisha threads zako kwangu kwanza ili nizithibishe kuwa ziko sawa au...
Ok nilikuwa nakuzingua tu mkuu!
Ila huyu mjomba nakumbuka alipewa kazi ya u'detective' na yule mpita njia mwaka flan kwenda America kumpeleleza Mange Kimambi,
Sasa mpita njia ameshasepa, lkn yeye kanogewa hataki kuludi Tz!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.