Recent content by new forest

  1. N

    Uzazi wa mpango upi salama?

    Habari wana JF?. Mimi Niko kwenye ndoa mwaka wa pili, nimebahatika kupata mtoto Mmoja ana mwaka na miezi miwili saiv. Tulikuwa tunatumia njian ya UZAZI WA MPANGO WA kitanzi na mke WANGU, na kitanzi chenyewe kawekewa kina kama miezi nane tu ila chakushangaza alikuwa hajaingia period tangu wiki...
  2. N

    Dawa za nguvu za kiume kutoka "sanitarium clinicks", ni tiba ya kweli?

    Habari wana jf? Hivi karibuni kumekuwa na utitiri WA DAWA za kuongeza nguvu za kiume HASA kwenye hizi "SANITARIUM CLINICKS", mpaka nachanganyikiwa kujua DAWA ipi inasaidia na DAWA Gani ni feki. Nimekuwa na tatizo Hilo Kwa mwezi Sasa na nilienda lupimo sanitarium clinic, wakanipa sawa zao...
  3. N

    Gari za "nyonya mavi

    Shkamoo mkuu🤣
  4. N

    Gari za "nyonya mavi

    Mm Niko mbeya mkuu
  5. N

    Gari za "nyonya mavi

    Nilikuwa Sina uhakika kama Yako chini ya daw
  6. N

    Gari za "nyonya mavi

    Mm Niko mbeya mkuu. Sema sifahamu kama hiyo huduma inatolewa na Mamlaka ya maji au jiji
  7. N

    Gari za "nyonya mavi

    😂😂😂😂😂
  8. N

    Gari za "nyonya mavi

    Mm mzalendo mkuu😅
  9. N

    Gari za "nyonya mavi

    😂😂😂 Choo Cha mwaka 1961, kiwe hakijajaa KWELI?
  10. N

    Gari za "nyonya mavi

    Habari zenu wana JF?. Naomba msaada WA anayejua Yale magari ya nyonya mavi Yako chini ya mamlaka Gani?, na je nikiyahitaji niende ofisi Gani?, na kama Kuna anaye jua bei ya kulipa gari ikija kunyonya uchafu nyumbani kwako ni kiasi Gani?
  11. N

    Hii ni dawa gani? Nina wasiwasi

    Habari Wana jf?. Nimekuta HII dawa kwenye mkoba wa demu wangu wakati tukiwa lodge yeye alikuwa ameenda bafuni simu yake ikawa inaita, kuangalia kwenye mkoba ndo nikakutana na hii dawa sijajua ni dawa Gani. Kwa anayeifahamu basi. Isije ikiwa nimekanyaga miwaya
  12. N

    Kwa wafanyabiashara wanaolipa TRA

    Wameniambia niandike barua ya kuomba kuongeza muda WA kununua,
  13. N

    Kwa wafanyabiashara wanaolipa TRA

    Wamesema Wamenikadiria lakini wamesema natakiwa kununua na mashine ya efd
  14. N

    Kwa wafanyabiashara wanaolipa TRA

    Mambo vp wadau?. Hivi kama umeenda TRA kufanya makadirio na waka sema utumie mashine ya EFD wakati hata uwezo WA kununua hyo mashine huna inatikiwa ufanyaje wakuu
  15. N

    Kipindi gani unakikumbuka kutoka Radio Free Africa (RFA) ya wakati huo

    KIPINDI Cha search line", na " je wajua?"
Back
Top Bottom