Hapa zilitakiwa zitajwe namba tuu kuwa wanalipwa kiasi gani.. njaa kila mtu ataitafsiri kwa namna yake..mwingine ukimwambia wanalipwa posho ya katikat ya mwez ya laki 2 ataona kuna neema maana tuliko hakuna hata hiyo
Mabank, makampun ya Simu na taasis nyingi kama NHIF ambazo huwa wanahitaji Namba ya NIDA kwenye kupata huduma wanachukua data NIDA kupitia kuunganisha mifumo yao na NIDA ..taasis hizo zote zinalipia hiyo huduma na ni hela nzuri tuu wanatoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.