Recent content by NetworkEngineer

  1. NetworkEngineer

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Unamaanisha TAAS 4.1 ni 1.5M,
  2. NetworkEngineer

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Tupe Taarifa mkuu za TAA mishahara yao kwa TAAS 5.1
  3. NetworkEngineer

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mshahara Kias gani..hiyo posho ya laki 8 unyama sana
  4. NetworkEngineer

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Hapa zilitakiwa zitajwe namba tuu kuwa wanalipwa kiasi gani.. njaa kila mtu ataitafsiri kwa namna yake..mwingine ukimwambia wanalipwa posho ya katikat ya mwez ya laki 2 ataona kuna neema maana tuliko hakuna hata hiyo
  5. NetworkEngineer

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Uwepo tuu wa hiyo posho ya laki 8 ni tosha kuwa pako vizuri, wenfine hiyo ndio take home na hakuna hela nyingine zaidi
  6. NetworkEngineer

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Kwenye huu uzi zilitakiwa kutajwa namba tuu..ila kumekuwa na brabra kibao inaonesha hakuna utafiti wa viwango vya mishahara kwenye maeneo hayo
  7. NetworkEngineer

    Rais Samia apokea gawio nono la TSh. Tril 1.28, ongezeko la 68% kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma

    Mabank, makampun ya Simu na taasis nyingi kama NHIF ambazo huwa wanahitaji Namba ya NIDA kwenye kupata huduma wanachukua data NIDA kupitia kuunganisha mifumo yao na NIDA ..taasis hizo zote zinalipia hiyo huduma na ni hela nzuri tuu wanatoa
  8. NetworkEngineer

    Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    Mishahara DAWASA iko chini sana?
  9. NetworkEngineer

    Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    BRELA Afisa II anaaanza na Tshs ngapi salary
  10. NetworkEngineer

    Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    M MUST sio staff wote ni walimu..kuna wahasibu, IT , wahudum wa masjala, supplies officers n.k Pana Njaa Kali sanaa
  11. NetworkEngineer

    Matokeo ya usaili wa oral TRA lini yatatangazwa?

    Matokeo TRA wanatoa Usiku siku zote hata ya huko nyuma ilikuwa hivyo
  12. NetworkEngineer

    TRA toeni basi hayo matokeo ya oral leo si ndio tarehe 26 au na leo mnataka muombe misamaha mingine

    Wapost PDF tuu haya mambo ya email ni Jau..unaweza subiri Email mpaka mwisho wa dunia
Back
Top Bottom