Tunaweza kuliangalia hili kwa mtazamo wa maandiko matakatifu kutoka katika Biblia kitabu cha Mathayo 24:6-8
"6 Mtasikia habari za vita na tetesi za vita, msitishike; kwa maana haya hayana budi kutokea; lakini mwisho utakuwa bado. 7 Taifa kwa taifa na nchi kwa nchi zitapigana. Kutakuwa na njaa...
Asante kwa ufafanuzi naamini umetusaidia wengi kujua kilichosababisha mabadiliko haya. Ila naomba unisaidie kujua gharama za uendeshaji (mfano matumizi ya mafuta) zinatofautiana je kati ya bombadier C300 na Airbus A220?
Ndugu ingawa umebadilisha mada ila naomba nikujibu kidogo. Shida ninayopata kwa ndugu wengi humu ni uelewa wa mambo, mara nyingi tunaandika vitu bila hata kusumbua kichwa kidogo. Mtoa mada anasema uteuzi wa wanataaluma kutoka UDSM kwenda serikalini unafanyika kikabila. Akaendelea mbali zaidi...
Aise mtoa mada umeandika kwa haraka sana kiasi kwamba wachangiaji wote wanalalamika hawajakuelewa. Labda ungefanunua vizuri hoja yako kwa mifano ili ueleweke vizuri, vinginevyo unaleta hoja dhaifu na isiyo na mashiko. Pamoja na angalizo langu naomba nichangie kidogo hoja hii kwa uelewa wangu. Ni...
Nahisi tunanukuu sheria mbili tofauti, The Local Government Service Act ya 1982 niliyotumia inasema hivi, nanukuu kifungu cha 22 kifungu kidogo cha kwanza na cha pili
Section 22 (1) "There shall be a District Executive Director for each district".
Section 22 (2) "The Director shall be...
Asante kwa kutufahamisha utaratibu, kwa maelezo yako mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya hawezi kusaidia na msahuri wa mgambo. Nitajielimisha zaidi, nikipata majibu tofauti nitakueleza hapa.
Naona tatizoni uelewa mdogo wa taratibu za serikali, katika kila ofisi ya Mkuu wa Wilaya kuna mshauri wa mgambo. Hiki ni kitengo au idara ambayo wafanyakazi wake ni wanajeshi na wanafanya kazi chini ya DC. Sasa ikitokea DC anenda kwenye kazi maalum ambayo inawashirikisha askari kutoka kitengo...
Ushauri mzuri natumai atafaunyia kazi kama atausoma au walio karibu naye watamfikishia. Kimsing kazi hizi zinahusisha watu wengi na kila mmoja anaweza kutumia operesheni kama njia ya kufikia malengo binafsi. Hapo ndipo umakini unahitajika sana, lakini nami naunga mkono juhudi hizi za kuondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.