Recent content by Nerd

  1. Nerd

    Mwigulu Nchemba: Mnasema maisha magumu? Magari namba E yamejaa Barabarani, na Benki kuna foleni

    Kuna mazee ukisikia yakitamka unaweza tukana ukalimwa ban bure. Samuya ameweka watu ovyo sana, low IQ wanapenda even lower IQ, makes them feel better. Tanzania nadhani ipo Top 5 ya nchi ngumu kufanya biashara duniani.
  2. Nerd

    Maandamano ya Wanaharakati yanategemea makundi ya wasio na hatia ili Kufanikiwa

    Ni kweli huna kabisa since kushinda barabarani ndiyo the only thing unachokifikiria, huwezi fikiria an inch deeper kuliko maneno kushinda barabarani. Such a waste of space
  3. Nerd

    Maandamano ya Wanaharakati yanategemea makundi ya wasio na hatia ili Kufanikiwa

    Nonsense, unajiita TheGreatGenius ila kumbe ni low IQ.
  4. Nerd

    PostGE2025 Video: Waandamanaji Mbeya wanaendelea kukusanyika na mabango

    Angalia nchi ilivyo nyeupe utadhani sio jumanne, plan ni ipi? weka askari kila mtaa hadi miaka mitano iishe?
  5. Nerd

    PostGE2025 Hakuna nchi Duniani mapinduzi yanachukuliwa poa. Kamuulize shetani kilichompata Mbinguni

    Leo bots za nywinywi naona mmechachamaa media zote. Mnalipwa shilingi ngapi kua wasaliti?
  6. Nerd

    PostGE2025 Enyi mnaokejeli haya maandamano mna upungufu wa akili

    Wabongo njaa zinawasumbua sana mtu anaona bora aendelee chini ya samuya ili mradi apate buku mbili ya kula. Nchi inazidi kuuzwa hii wenye akili wote watahama watabaki vilaza tu wamepigwa na maisha
  7. Nerd

    PostGE2025 Rais Samia amteua Binti yake Wanu Hafidh, kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu

    IQ ni urithi, huyu naye alirithi Form Four failure.
  8. Nerd

    PostGE2025 Rais Samia: Kwakuwa watanzania wamenipa ridhaa, sitachoka kunyoosha mkono wa maridhiano

    Hehe huyu mama ni schizophrenic? Watanzania waliompigia kura sidhani kama wanfika hata 1,000
  9. Nerd

    Watanzania wengi maskini wanafia ndani kwa kukosa matibabu

    Watanzania wengi wanakufa kwa kisukari, nahisi kisukari yaweza kua sababu #1 kwa vifo nchini. Na tatizo kubwa ni sababu watu wengi hawana elimu ya wale nini waache nini, bongo kila mtu ni "piga ugali 80% mbona 20%" wanapiga wanga asubuhi hadi usiku, nutrition ni kitu nadhani kingefundishwa...
  10. Nerd

    PreGE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

    Nape ni moja ya watu ovyo sana Tanzania, kafanya vizuri kumuondoa. Mtu aliyefikia level za kutamka mbele ya watu kuhusu swala la kuiba kura huku anacheka as if it's nothing. Mama kamkumbusha kidogo kua kapangiwa seat hana nguvu pale.
  11. Nerd

    Halima Mdee: Mimi pamoja na timu yangu (Wabunge 19) tutabaki kuwa WanaCHADEMA kindakindaki. Tutaenda kuyajenga ndani kwetu

    Wajiunge tu CCM wakapambane ndani kwa ndani. Politics in Tanzania are shit. The country is so fd up
  12. Nerd

    Umoja wa Ulaya (EU) ujue Tanzania ni Taifa huru kwa 100%

    Ndiyo hivyo, hata Marekani wanaopambana na china mwisho wa siku wanategemea soko lake, china vilevile inategemea soko la US. Siku zote kelele zipo ila wote ukweli unabaki palepale huwezi simama peke yako. For some reason Tanzania wanajipa kichwa kua wanaweza gombana na mataifa haya na wakashinda...
  13. Nerd

    Umoja wa Ulaya (EU) ujue Tanzania ni Taifa huru kwa 100%

    Hakuna taifa lisilotegemea mataifa mengine duniani. Maka**** mnaendelea kujidanganya kua hilo linawezekana hahaha, vilaza mmejaa sana tanzania
Back
Top Bottom