Acheni walimu wafanye kazi zao maadam wenyewe wameridhika. Kwanza hufanya kazi hizo kwa ufanisi mkubwa msiwatie midukuo sababu aliyewanyima wao ndo kawapa nyie.
Akili za watu wengine buana. Uhuru wa Tume huwa unahitajika pale mnapoona maji ya shingo tu? Lisu alikua mbunge je ni Tume ipi ilimtangaza ushindi wake? Hebu tupeni dondoo za hiyo Tume huru mnayoifikiria ni ipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.