Uchaguzi 2020 Wasimamizi wakuu wa vituo vingi vya kupigia kura ni walimu. Je, mwalimu ndiye atakayemnyima fomu ya matokeo ya uchaguzi wakala wa upinzani?

lukoma

JF-Expert Member
Jul 1, 2013
2,995
2,245
Kweli Mungu anatupenda sana Watanzania.
Sisi tunaolipwa mshahara mdogo zaidi ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupiga kura,
Sisi tunaolazimishwa kuchangia mwenge kwa kukatwa kwenye mishahara yetu ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupigia kura.
Sisi tunaolazimishwa kuhudhuria mikutano ya kampeni ndiyo wasimamizi wakuu wa vituo vya uchaguzi.
Sisi tusioongezewa mshahara miaka 5 ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupigia kura!

Je, nani atakayekataa kumpa fomu ya matokeo ya mwisho wakala wa upinzani katika vituo vya kupigia kura, ni mwl, nesi, mhudumu kituo cha afya, form 4 na six walopigika mitaani?
 
Walimu njaa kali, posho tu za usimamizi tayari wamesahau maswaibu yooote!
Hapa nakubaliana na wewe yaani walimu wanavyohangaika hadi huruma. Kabla majina hayajatoka ya wasimamizi, hao walimu kila mara huulizia vipi majina yashatoka?

Daah inahuzunisha sana kuja kufuatilia wanalipwa bei gani hata laki moja haimo Ila walivyofurahia ni hatari na waliokosa wamenuna balaa.

Walimu ni kundi la hovyo sana hapa Nchini, yaan malipo ya laki moja tayari wameshasahau kila kitu.
 
Hapa nakubaliana na wewe yaani walimu wanavyohangaika hadi huruma. Kabla majina hayajatoka ya wasimamizi, hao walimu kila mara kuulizia vipi majina yashatoka?

Daah inahuzunisha sana kuja kufuatilia wanalipwa bei gani hata laki moja haimo, ila walivyofurahia ni hatari na waliokosa wamenuna balaa.

Mwalimu ni kundi la hovyo sana hapa Nchini, yaani malipo ya laki moja tayari wameshasahau kila kitu.

Laki wapi, ni elfu 80 tu, lakini ni kama wameyapatia maisha.

Ukweli kwa maisha ya walimu, hiyo ni pesa nyingi mno kuipata kwa mkupuo. Mishahara wameikopea wengi wao mwisho wa mwezi hamna kitu.

Leo utashangaa kusikia wanabwagiza mitano tena!
 
Laki wapi, ni elfu 80 tu... lakini ni kama wameyapatia maisha.

Ukweli kwa maisha ya walimu, hiyo ni pesa nyingi mno kuipata kwa mkupuo.... mishahara wameikopea wengi wao mwisho wa mwezi hamna kitu.

Leo utashangaa kusikia wanabwagiza mitano tena!
Yaan Ni aibu Sana aisee na nimeshangaa Sana mwalimu kufurahia malipo ya 80k tena wamesahau maumivu ya miaka 5 ,yaan hapa nilipo saiz walimu story zao Ni hizo za kusimamia yaan wamefuatah balaa.

Njaa mbaya Sana na ndio maana magu anawapuuza maana ashafanya Kaz huko so anawajua nje ndani
 
Kweli Mungu anatupenda sana Watanzania.
Sisi tunaolipwa mshahara mdogo zaidi ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupiga kura,
Sisi tunaolazimishwa kuchangia mwenge kwa kukatwa kwenye mishahara yetu ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupigia kura.
Sisi tunaolazimishwa kuhudhuria mikutano ya kampeni ndiyo wasimamizi wakuu wa vituo vya uchaguzi.
Sisi tusioongezewa mshahara miaka 5 ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupigia kura!

Je, nani atakayekataa kumpa fomu ya matokeo ya mwisho wakala wa upinzani katika vituo vya kupigia kura, ni mwl, nesi, mhudumu kituo cha afya, form 4 na six walopigika mitaani?
Wanatishwa na wakurugenzi.
 
Jidanganye tu. Hujui Mchawi ndio anapewa mtoto amlee. Unadhani atamfanyia ubaya. Thubutu. Mshahara japo mdogo lakinmi ajira nayo ni nzuri.
 
Kweli Mungu anatupenda sana Watanzania.
Sisi tunaolipwa mshahara mdogo zaidi ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupiga kura,
Sisi tunaolazimishwa kuchangia mwenge kwa kukatwa kwenye mishahara yetu ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupigia kura.
Sisi tunaolazimishwa kuhudhuria mikutano ya kampeni ndiyo wasimamizi wakuu wa vituo vya uchaguzi.
Sisi tusioongezewa mshahara miaka 5 ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupigia kura!

Je, nani atakayekataa kumpa fomu ya matokeo ya mwisho wakala wa upinzani katika vituo vya kupigia kura, ni mwl, nesi, mhudumu kituo cha afya, form 4 na six walopigika mitaani?
Acheni walimu wafanye kazi zao maadam wenyewe wameridhika. Kwanza hufanya kazi hizo kwa ufanisi mkubwa msiwatie midukuo sababu aliyewanyima wao ndo kawapa nyie.
 
Kweli Mungu anatupenda sana Watanzania.
Sisi tunaolipwa mshahara mdogo zaidi ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupiga kura,
Sisi tunaolazimishwa kuchangia mwenge kwa kukatwa kwenye mishahara yetu ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupigia kura.
Sisi tunaolazimishwa kuhudhuria mikutano ya kampeni ndiyo wasimamizi wakuu wa vituo vya uchaguzi.
Sisi tusioongezewa mshahara miaka 5 ndiyo wasimamizi wa vituo vya kupigia kura!

Je, nani atakayekataa kumpa fomu ya matokeo ya mwisho wakala wa upinzani katika vituo vya kupigia kura, ni mwl, nesi, mhudumu kituo cha afya, form 4 na six walopigika mitaani?
Walimu ndiyo kundi linalotumia sn na CCM
 
Hizi kazi kupewa walimu kunachangiwa na pande mbili

Negative side

@ mishahala yao haitoshi hvyi ni sehemu ya kujipunguzia maswaibu

@Hawana misimamo hasa pale wanapo onewa yaani wao kila kitu sawa tu

@Wametawaliwa na woga hii ni kutokana hawana boss wao kila kiongozi wa kisiasa kuanzia ngazi ya kijiji hadi ngazi ya taifa ni boss wao.

Postive side

@Walimimu wana ufanisi zaidi katika utendaji wa kazi

@ Ni wepesi wakuelewa na kueleweshwa mambo kupitia semina

@Ni watu wanaojua saikolojia ya client hasa jamii tofauti na nyanja zingine

@Ni wepesi sana kumuelewesha mtu na akaelewa

@Walimu wanamaadili sana katika jamii
 
Walimu na mapolisi awajielewi ndio uchangia ushindi wa ccm ambayo baada ya ushindi wao ndio wanaoteswa hasa na ccm uenda ugumu wa maisha umevuruga akili zao. Wanajua kabisa huyu Bwana anawachukia watumishi na awapendi thus amewashughulikia haswaa, lkn unashangaa wanamsaidia kushinda.
Mtu akiwa masikini na uwezo wake wa kufikiri upungua, thus jiwe upenda kuwafanya watu wawe masikini ili awatawale.
 
Back
Top Bottom