Recent content by Nematic

  1. Nematic

    SPIKA: Tumesitisha kufanya kazi na CAG. Panga pangua Kamati za Bunge yaanza

    Ndugai anataka kila mtu amchape mjeredi. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  2. Nematic

    MWANANCHI: Sakata la Trilioni 1.5 sawa na Escrow

    Mbele nyuma.... Nchi haiwezi kubadilika kwa kuwa na taasisi zisizo imara, kisa kuna malaika anaongoza hatamu. Taasisi imara iko moja tu, Ikulu, nayo haiongozwi kwa utashi wa kitaifa, ni ubinafsi kwenda mbele
  3. Nematic

    Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

    Raisi hawezi kukaa kwenye Manispaa. Nahisi hiyo nayo hoja. Sisi bado hatujawa nchi ya vigezo. Siasa uchwara zinatusumbua. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  4. Nematic

    Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

    Ukiruka juu kwa ndege inaonekana kama jiji, wacha iwe Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  5. Nematic

    CAG, Gavana, wizara ya fedha sasa kuhojiwa ziliko Tril 1.5, pia waziri wa fedha Zanziber na katibu hazina kuhusishwa

    Hivi tumeshindwa kujenga ukuta hazina mpaka vitabu vya risiti vinapotea?
  6. Nematic

    RC Makonda: Sina mpango wa kugombea Urais, lengo langu ni kumsaidia Rais Magufuli

    Uraisi na hii destructive mentality.... Anachimba makaburi mengi
  7. Nematic

    Bunge lapiga marufuku kujadili mambo ya kiimani na nyaraka zinazotolewa na viongozi wa dini!

    Zile nyaraka zimesukwa sana, wakigusa wataharibikiwa, bunge na serikali.
  8. Nematic

    Tusiwe tunabeza tu kila operesheni anayofanya Paul Makonda

    Leo uliamka na kimavi. Kweli kuna nguvu kubwa katika sifuri, haswa kuzidisha/gawanya. Umesema njia za kisiasa, ndo ujinga huo, hatuchagui/kupendelea mazuri, yanajichagua yenyewe. Ukaendelea hivi inabidi tukuchane. There will never be a wrong way to do the right things.
  9. Nematic

    Dalili za Serikali ya Rais Magufuli kuanza kupoteza mwelekeo

    Tunahitaji thumb-down pia, ili reaction zote zichukuliwe.
  10. Nematic

    Dalili za Serikali ya Rais Magufuli kuanza kupoteza mwelekeo

    Mkuu ana kauli ambazo hata mjukuu wake anaweza kumkosoa, kasoro wapiga makofi
  11. Nematic

    Kutokwa uchafu mzito kama maziwa wakati wa tendo la ndoa.

    Uchafu huo sijaujua, daktari alisema ni uchafu?
  12. Nematic

    Namwombea msamaha mheshimiwa Rais kwa Wakristo wote lakini Mungu hadhihakiwi

    Kuna vichwa amevikanyaga/ponda kama vya nyoka, na ndo maana kwenye hotuba yake alisema imebaki mikia tu inajitikisa. Vema, acha ajenge uchumi wa nchi, ni muhimu, lkn kama UTU wake ni wa hivyo, inaweza kuwa pigo lake kubwa.
  13. Nematic

    Namwombea msamaha mheshimiwa Rais kwa Wakristo wote lakini Mungu hadhihakiwi

    Sadaka kwenye hekalu la Mungu hazijapungua, thamani ya pesa ndo imepungua.
Back
Top Bottom