Umesahau na mabilion ya ununuzi wa kina mtuliaUnaweza kujiuliza zile milioni 100 Tanzanite founder ,bombadia,huko Cht Airport,na matumizi ya Anasa na project zilo nje ya Bajeti za Bashite hela wanatoa wapi??? Hapo utajua.
Umemsahau yule wa NkasiProf Assad anaenda kuhojiwa Na Wanafunzi wa wanafunzi wake!
Kwa Sheria na Kanuni za Bunge, inawezekana Mh.Livingstone Lusinde Au Mh. Msukuma wanaweza kumhoji Prof Assad na kuamua juu ya hatma ya Hoja za Report yake ama kuifuta Au kuendelea nazo !
Akina Aeshy Yule wa Mb. wa Sumbawanga ndio watakaomsulubu Prof Assad Kwa Maswali ya Kihasibu Na Fedha!
Nawaza hii PAC ingekuwa chini ya Zitto ungewaka Moto Kama wa Escrow
Hahahaha
I'm Proud to be Tanzanian
Tunaomba risitiUnaweza kujiuliza zile milioni 100 Tanzanite founder ,bombadia,huko Cht Airport,na matumizi ya Anasa na project zilo nje ya Bajeti za Bashite hela wanatoa wapi??? Hapo utajua.
Umemsahau yule wa Nkasi
Nami niliwaza hivyo hivyo hii kamati ingekuwa chini ya Zitto haki pange chimbika, sema jamaa walijua mapema Zitto akwekwa pembeni, yani angekuwa hata mjumbe tu pasingetoshaProf Assad anaenda kuhojiwa Na Wanafunzi wa wanafunzi wake!
Kwa Sheria na Kanuni za Bunge, inawezekana Mh.Livingstone Lusinde Au Mh. Msukuma wanaweza kumhoji Prof Assad na kuamua juu ya hatma ya Hoja za Report yake ama kuifuta Au kuendelea nazo !
Akina Aeshy Yule wa Mb. wa Sumbawanga ndio watakaomsulubu Prof Assad Kwa Maswali ya Kihasibu Na Fedha!
Nawaza hii PAC ingekuwa chini ya Zitto ungewaka Moto Kama wa Escrow
Hahahaha
I'm Proud to be Tanzanian
Yaani ni sarakasi tu,CAG kasema wazi fedha hazijulikani zimetumikaje,hao serikali waweke matumizi yake tu hadharani.Watamuhoji nini CAG wakati kishasema matumizi yake hayajulikani. Atajua vipi zilipo sasa.
Zitto Sasa hivi kawekwa kwenye Kamati ya Maendeleo ya JamiiNami niliwaza hivyo hivyo hii kamati ingekuwa chini ya Zitto haki pange chimbika, sema jamaa walijua mapema Zitto akwekwa pembeni, yani angekuwa hata mjumbe tu pasingetosha
Pohamba umeanza sasa kujitambua,ok karibu kwenye ulimwengu wa wanaopigania maslahi ya taifaProf Assad anaenda kuhojiwa Na Wanafunzi wa wanafunzi wake!
Kwa Sheria na Kanuni za Bunge, inawezekana Mh.Livingstone Lusinde Au Mh. Msukuma wanaweza kumhoji Prof Assad na kuamua juu ya hatma ya Hoja za Report yake ama kuifuta Au kuendelea nazo !
Akina Aeshy Yule wa Mb. wa Sumbawanga ndio watakaomsulubu Prof Assad Kwa Maswali ya Kihasibu Na Fedha!
Nawaza hii PAC ingekuwa bado chini ya Zitto ungewaka Moto Kama wa Escrow
Hahahaha
I'm Proud to be Tanzanian
Pohamba umeanza sasa kujitambua,ok karibu kwenye ulimwengu wa wanaopigania maslahi ya taifa
Meya wetu wa ubungo kavamiwa na watu walio valia mavazi ya kijeshi na polisi bado hawajafika kwenye eneo la tukioKidumu Chama Cha Mapinduzi
Kidumu Chama Tawala
Karibu CCM , huku hata ukikosoa Chama Na Serikal yake huitwi Msaliti wala hatusemi unaiba Siri zetu na kupeleka Kwa maadui zetu
Hata mimi nimekwama kabisa kwenye huu Uzi! Nimewaza kama wewe mkuu. Hii kamati ni ya nani hasa? Nina uhakika si Ndugai wala Tulia mwenye uwezo wa kuruhusu hili jambo lichunguzwe. Kama ni ya Mkulu basi JPM anajiamini sana.Naendelea kufuatlia comments humu labda nitaelewa......hiyo KAMATI NYETI.......inatoka bungeni au mkuu Kaunda yakwake?
Meya wetu wa ubungo kavamiwa na watu walio valia mavazi ya kijeshi na polisi bado hawajafika kwenye eneo la tukio
Umesahau tu, zilipitishwa na bunge.Unaweza kujiuliza zile milioni 100 Tanzanite founder ,bombadia,huko Cht Airport,na matumizi ya Anasa na project zilo nje ya Bajeti za Bashite hela wanatoa wapi??? Hapo utajua.
Hhahahahaha aiseee watu nyieDukani kwa Baba Jesca kitabu cha risiti kimepotea, labda mjaribu dukani kwa Mpemba!
Mkuu unaniumiza mbavu zangu,Hili swala mbona halieleweki? Gavana na katibu mkuu hazina wamehojiwa na mkuu Wa nchi wakasema hakuna upotevu wowote nna hazina ipo salama sasa wanahojiwa tena na nani na kuhusu mini??