Nilihangaika na hilo tatizo mpaka nkaacha kusuka,now nimepata solution tumia shampoo inaitwa head and shoulder ukikosa hiyo nenda pharmacy kubwa ulizia shampoo ya kutibu mba then tumia mafuta ya Radiant cream,now nakaa n'a msuko mwezi ikiwa b4 ndani ya siku tatu najikuna hadi natoka vidonda.
Siujui ushirikina kabisa,najishusha sana tuzungumze lakini hataki ananyanyuka anaondoka,jibu lake huwa kama naona hana kazi niende kwa wanaume wenye kazi.baada ya ushauri humu ndani itabidi niende kwa kiongozi wetu wa dini amwite tusikilizwe kwa pamoja.
Kazi anapata anaenda kama wiki mbili hivi anaacha mwisho wanamtimua na ni jeuri sana hataki hata kuelekezwa huko kazini anataka afanye anachotaka yeye.hadi anapigana.
Kwanini unasema haina ukweli?hakuna hata kimoja nilichodanganya napitia hiyo situation kwann watu mnakuwa wabinafsi hvyo? Mbaba msomi,ana nguvu,afya nzuri tu mnaona sawa ni sawa tu asifanye kazi?sijui hata cha kusema tena.
Habarini jamvini?
Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi yoyote,akipata kibarua anaenda kama wiki hivi anaacha.
Biashara ndogondogo hataki kufanya kabisa,mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.