Recent content by Nelyst

  1. N

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Aaangalie sana swala la uchumi wa watu wa chini, bajeti imesomwa vizur kwa ajil ya kukuza uchumi wetu ilaa kilichofanyika kapunguzaa kodi ha beer akapandisha mafuta, kupanda kwa mafuta kila kitu vitapanda bei maana 80% ya vitu lazima vitumie usafirishaj... Aaangalie hilo
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kujua kuhusu kilimo?

    Wataalamu, Mimi ni mgeni katika kulima nataka kuanza kulima na hasa ni kilimo Cha mapapai, pilipili mbuz au kichaa na maparachichi! Naombeni mawazo je Niko sahihi kama nitapata soko? Je, changamoto ni zipi? Au unanishauri ni lime nini ambacho Kiko kwenye soko?
Back
Top Bottom