kuna jamaa alipangiwa kaz mwanza(bro) kama afisa.......,baada ya wiki mbil TIGO wakatangaza hiyo post moja watu wakapotezewa muda kwa kutuma barua zao na kufanyishwa interview za bure,..mwisho wa cku waliambiwa waache email na number za cmu, atakayepita atataalifiwa..
tatizo ni uhaba wa walimu ndo maana hata wasio na proffesion ya ualimuwanapata mwanya wa ajira,..kama unaongea ukwel waliokufundisha chuo kikuu wote wana taaluma ualimu?..jiulize kw nn fursa hiz hazipo kwenye sekta nyingine kama afya???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.