Recent content by NELSON17

  1. N

    Huyu mlokole ni wa ajabu sana. Anafanya mambo ya ajabu! Msaidieni jamani

    Huyo sio mlokole huyu kwa sifa hizi ni MKRISTO HALISI.
  2. N

    Biblia ni nini? Maelezo ya kina kuhusu kitabu hiki ambacho shetani anakichukia kuliko vitabu vyote!

    Unaweza ukaongea ukweli mtupu kabisa lakini kwa hila! Kama ilivyo leo wengi sana wanadhani utaua au utakatifu ni njia ya kupata faida. Meaning that ukiokoka au kumwamini Mungu wa kweli unakuwa tajiri, upaswi kufanya kazi wewe ndo wa kusikilizwa tu, ukihubiri ulipwe, ukifundisha ulipwe, ukiwa...
  3. N

    Tofauti ya ubatizo wa Yohana na ubatizo wa Bwana Yesu

    Ni tofauti Ref: Mt 3:11 Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
  4. N

    Waalimu hawataki kufundisha shule za vijijini

    Ila siku izi kuna walimu na watu wanaifanya kazi kwa ajili ya kupata fedha. Nini kifanyike? 1.uongozi sekta ya elimu kuacha upendeleo 2. Miundo mbinu kwenye sekta husika 3.walimu wa vijiji kupewa vipaumbele kwa jamii na serikali kwa ujumla 4.ushirikiano baina ya walimu wa mjini na vijiji...
  5. N

    Waalimu hawataki kufundisha shule za vijijini

    Ila siku izi kuna walimu na watu wanaifanya kazi kwa ajili ya kupata fedha. Nini kifanyike? 1.uongozi sekta ya elimu kuacha upendeleo 2. Miundo mbinu kwenye sekta husika 3.walimu wa vijiji kupewa vipaumbele kwa jamii na serikali kwa ujumla 4.ushirikiano baina ya walimu wa mjini na vijiji...
Back
Top Bottom