Mafao baada ya kustaafu ni tegemeo kubwa. Wastaafu walikuwa na Imani kuwa michango yao iliyokuwa inaenda kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii itawasaidia uzeeni. Kikokotoo kipya Cha mafao ya wastaafu kinakosesha waathirika Imani na serikali yao kwa kuwa uamuzi wa kikokotoo kipya haikuwa makubaliano...
Serikali haijatutendea haki kabisa. Na sielewi kwanini mtumishi anastaafu alafu wanakokotoa kwenye daraja la nyuma na siyo lile alilostaafia. Hii wizara inayoshughulikia wastaafu wanatuonea waondolewe wawekwe watu watakaotenda hakiii
Unataafu ukiwa TGTS G Mafao yanakokotolewa kwenye TGTS F hiyo...
Kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu ni mwiba usiovumilika.
Inasikitisha sana Waziri anaposema watumishi walielimishwa na wakaridhia. Hivi watumishi walioshirikishwa kutuamulia mafao yetu ni akina nani?
Ingependeza sana iwapo tungepewa fedha zetu kama tulivyokuwa tumekubaliana tuliporidhia...
Am not Sekela. Naitwa Mwl. Nelson Salema
nimefundisha miaka 30 sasa na nimeshuhudia mafanikio makubwa ya wanafunzi wangu. japo kenge hawakosekani kabisa.
Nashangaa ati nami naitwa muhuni. Its not only insult to me bt curse as well
Pole sana Sexless japo jina ni maarufu kwelx2.
Ukishaita walimu genge la wahuni ni mwanzo wa mwanao kufeli.
Mwalimu wa siku hizi ni wa miaka gani? Mwalimu naye Wazazi wa siku hizi ni wahuni tu. Acha hizo Sexless. Tabia ya mwanao ni taswira yako ulivyo. Like son/daughter like you if you are a father
Sexless
Sina uhakika kama wewe ni mzazi au ni mtu gani. Kama una shule ya kawaida si vigumu kujua kuwa wewe ni mdau ktk Elimu. Ni rahisi kwanini basi upeleke mwanao kwenye genge lz wahuni? Serikali gani inaajiri wahuni?Basi hata wote ukiwemo ni mhuni kwa staili yako. Umezaa wewe ni mwalimu wa...
Sexless
Hakuna mtoto anayezaliwa boarding nduhu yangu. Nitakuwa wa mwisho kuamini msemo "walimu wa siku hizi, au watoto wa diku hizi.." Nimefundisha 30yrs now. Nina uzoefu na wazazi hewa na wazazi makini. AMINI USIAMINI MZAZI NI MWL. NAMBARI MOJA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.