Inaonesha wew sio mfariliaji mzuri wa mambo.. jagwani ilizinguliwa ilani ya ukawa na mbowe akasema ndonitakayotumika.
Dr alisema ilayani ya chadema ilitengenezwa kwa miaka saba. Anashangaa hiyo ya ukawa imetengenezwa nsani ya mwezu mmoja . Je ni ya nani kama siyo ya lowasa. Na itatumika ipi ya...
Aliongea kitu cha muhimu sana..2010 watu walipata ulemavu kupitia maandamano ya chadema kuipinga ccm ... ataficha wapi sura yake kuwakubali walioshabibishia wanachama wake ulemavu...mzee utadharaulika saivi kwa sababu ya ushabiki lakini baadae maisha baada ya uchaguzi watu wataanza kukuelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.