Recent content by nelson jones

  1. N

    James Mbatia: UKAWA ipo imara, haitasambaratika, akerwa na kauli za Magufuli, CCM

    Huwa namuamini sana huyu jamaa lakin leo simuelewi kabisa...
  2. N

    Shirikisho la Vyuo Vikuu Tanzania latoa tamko la kumuunga mkono Dr. Magufuli

    Kama aujaojiwa na wew ni mwanachuo ujue ni kilaza ndo mana study ikapna utatoa inaccurate information s.
  3. N

    Furniture's

    Home and office furniture s and interior designers. Barber shops design and women saloon design . Tunapatikana mwanza kwa mawasiliano zaidi 0756277164
  4. N

    Baada ya kutafakari sana, huyu ndiye nitakayemchagua kuwa rais wangu!

    Inaonesha wew sio mfariliaji mzuri wa mambo.. jagwani ilizinguliwa ilani ya ukawa na mbowe akasema ndonitakayotumika. Dr alisema ilayani ya chadema ilitengenezwa kwa miaka saba. Anashangaa hiyo ya ukawa imetengenezwa nsani ya mwezu mmoja . Je ni ya nani kama siyo ya lowasa. Na itatumika ipi ya...
  5. N

    Dr. Slaa hatanyamaza, hataishia hapo!

    Aliongea kitu cha muhimu sana..2010 watu walipata ulemavu kupitia maandamano ya chadema kuipinga ccm ... ataficha wapi sura yake kuwakubali walioshabibishia wanachama wake ulemavu...mzee utadharaulika saivi kwa sababu ya ushabiki lakini baadae maisha baada ya uchaguzi watu wataanza kukuelewa.
  6. N

    General Tyres Tanzania ilivyohamishiwa Kenya na kuitwa YANA tyres!

    General tyre ipi hiyo mnazungumzia maana mi najua ile ishakufa kabisa
Back
Top Bottom