Baada ya kupotea mda mrefu nimerudi tena ndugu zangu.
Mniwie radhi kwa simulizi nilizoshindwa kuzimalizia.... sababu zilikua nje ya uwezo wangu.
Leo ningependa niwaulize watu ambao mnajiita kua mna ubini wa Adamu. Mnamjua Mungu aliyeumba au mnakariri hadithi na mapokeo. Mungu yupo ila asilimia...
Maombi yenu tafadhali.....hali ya mjomba wangu sio nzuri.
Pamoja na yote damu nzito KULIKO MAJI
Mjomba wangu anahitaji maombi yenu
Tusamehane sisi sote binadamu
I hope atarecover soon
Ngoja niwahi Chigali kabla mambo hayajawa mengi
Taarifa zozote za ziada nitawajuza
Ni kweli mjomba kaumiza watu...
Baada ya kupotea kwa mda mrefu...nimerudi mda huu.
Katika pitapita zangu kilingeni drc...a.k.a
shamba la bibi kuna vitu nimeona
mengi ya kusikitisha kuliko kufurahisha.
Story zote nilizoishia katikati nitazimalizia...msijali.
Leo tuzungumzie wanyarwanda na akili zao 🇷🇼🇷🇼.
Wakati m23 wanachukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.