Recent content by nelly williamson

  1. N

    Medical laboratory vs pharmaceutical sciences

    Sijasema ni bure bt sio costful kama maabara
  2. N

    Janga la advanced level PCB/CBG Vs vyuo vya afya na ndoto za udaktari.

    Kwa elimu ya Tanzania ni bora kusoma diploma kuliko kwenda advance cz inapoteza muda halafu si hivyo tuu huyu alopita chuo anajikuta tayari kashapata ujuzi wa kazi wakati wewe bado una2ng' ana kukariri definitions
  3. N

    Medical laboratory vs pharmaceutical sciences

    Nashauri pharmacy sababu ni rahisi kujiajil baada ya masomo kuliko maabara vifaa vyake ni ghari japo kama unauwezo nayo waweza kujiajir ile inahitahitaji chemicals, microscope na vinginevyo bt phamacy ni madawa tuu uwe nayo
  4. N

    Vyuo vinavyotoa Diploma in Medicine (CO) kwa wenye certificate(CA)

    Ni 3,000,000/= ukiwa Day na 3,400,000 ukiwa bweni kwa mwaka unalipa kwa awamu mbili
  5. N

    Vyuo vinavyotoa Diploma in Medicine (CO) kwa wenye certificate(CA)

    Yaaah hiyo ipo vizuri inaanza November af September mwaka unaofuata Mungu akijalia unamaliza zako..
  6. N

    Nafasi za masomo NACTE

    Ukiingia kwenye website ya nacte utaona kunasehemu imeandikwa institutional panel hapo ndi vyuo vinapowaingiza wanafunzi waloomba moja kwa moja vyuoni kwenye system ya nacte na inasaidia uhakika wa kupata nafasi ya kusoma
  7. N

    Vyuo vinavyotoa Diploma in Medicine (CO) kwa wenye certificate(CA)

    Kusoma kwa masafa wanaita distance learning.. Yaani unakuwa unasoma mtandaoni kwa muda mrefu af muda mchache utakuwa darasani na ndio maana inachukua muda mrefu kuliko kusoma moja kwa moja chuoni
  8. N

    Vyuo vinavyotoa Diploma in Medicine (CO) kwa wenye certificate(CA)

    Ndiyooo wamemaliza vizuri you na matokeo yao yashatoka tayari washarudi kazini sa hivi
  9. N

    Vyuo vinavyotoa Diploma in Medicine (CO) kwa wenye certificate(CA)

    Moja kati ya chuo nimeona baadhi ya rafiki zangu wanesoma CO mwaka mmoja ni Tandabui ni chuo cha private kipo mwanza mjini..
  10. N

    Nafasi za masomo NACTE

    Jamani nacte washafunga zoezi la udahili kwa kozi za afya diploma na certificate kwa muhula wa mwezi April ila unaweza kuomba chuoni moja kwa moja wanakuingiza kupitia institutional panel waweza pitia nimeona Tandabui wanafanya hivyo na vyuo vingine
  11. N

    Natafuta chuo cha private nisome Ordinary Diploma ya Medical Officer

    Tembelea www.tihest.org utapata ad namba za simu kwa maelezo zaidi.
  12. N

    Naomba ushauri kuhusu kozi ya Clinical Officer

    Hapana cheti chako cha form four ndio kinachotumiwa kukupa nafasi ya masomo ila ni lazima uanzie ngazi ya certificate yaan NTA LV 4. Sio lazima uwe umemaliza form 6
  13. N

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Soma Medical Laboratory chuo unapata ingia nacte.org
  14. N

    Usijaribu kusoma kozi hizi, utakufa njaa

    Yaani siamini katika hilo ila kama ukisubiri kuajiliwa utalala njaa sanaaa cha msingi jua unataka kufanya nini maana hata huko wasikolala njaa tukienda wotee tukasomea duuuh.. tutakufa njaa co kulala njaa
  15. N

    Majina ya waliochaguliwa kujiunga na kozi ya Uuguzi Chuo cha Tndabui

    Hello. Kwa wale walioomba nafasi za Nursing selection imeanza kufanyika kila wiki majina yatawekwa kwenye website ya chuo. kuwahi kwako ndio kuwahi kuchaguliwa. Tembelea website ya chuo ww.tihest.org
Back
Top Bottom