Mimi nina mpango wa kulima zao la ufuta mikoa ya kusini hasa mtwara ila nataka kupata mtu ambaye ni mwenyeji wa eneo husika anyeweza kunisaidia kutafuta shamba na pricess zingine
Habari wana JF.
Tafadhali naomba kwa yoyote anayejua kampuni inayo/zinazonunua mahindi
mwanza anisaidie jina la kampuni au hata na contacts kama anazo.
Natanguliza shukurani wadau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.