Recent content by NELLY CB

  1. N

    Nahitaji mkopo ili nipate mtaji wa kuanzisha kilimo

    Mimi nina mpango wa kulima zao la ufuta mikoa ya kusini hasa mtwara ila nataka kupata mtu ambaye ni mwenyeji wa eneo husika anyeweza kunisaidia kutafuta shamba na pricess zingine
  2. N

    Wapi na pata mkopo bila mali isio hamishika

    ingekua unaenda na cheti unaweka rehani si kila mtu angeenda kuchkua hela jaman...manake saivi vimekua mapambo tu havina kazi
  3. N

    Soko la mahindi mwanza

    Habari wana JF. Tafadhali naomba kwa yoyote anayejua kampuni inayo/zinazonunua mahindi mwanza anisaidie jina la kampuni au hata na contacts kama anazo. Natanguliza shukurani wadau...
  4. N

    Nafasi za kazi Shontle Supermarket

    sio shontle supermarket ndugu, ni shottle marketing. Wapo maeneo ya amana hospital.
  5. N

    Mail ya Tanzania Postal Bank vipi?

    Kweli majanga
Back
Top Bottom