Recent content by Neewly

  1. Neewly

    Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

    Katika hayo madaraja wewe umekuwa nani na ndugu zako kule vijijini wamepandishiwa mishahara au bei za bidhaa? Think and act mkuu you talk nothing..
  2. Neewly

    Historia ya uundwaji wa Mikoa Tanzania

    Kama jambo haliathiri maendeleo ya jamii na wanajamii hata kama watasema kila wilaya iwe mkoa it's ok. Hatujengi nchi jirani tunajenga Tanzania..
  3. Neewly

    Huu mfumuko wa bei unaoendelea nchini utaliangamiza Taifa kiuchumi na kiusalama

    Malighafi ni zetu alafu tunaendeshwa na kufanyiwa exploitation wenyewe.. hii nchi kuielewa ni vigumu sana cha msingi ni kuomba Mungu maisha yaendelee..
  4. Neewly

    Maoni yangu kwa watanzania wote

    Watanzania wenzangu nawaomba sana tuelewe jambo hili ambalo likizingatiwa litakuwa na faida kwetu na kwa vizazi vyetu na vijavyo. [emoji778] Mtanzania mwenzangu unapotoa hoja au maoni hakikisha hukandamizi kabila la mtu, dini na imani ya mtu. Jambo hili limekuwa likijitokeza katika nyuzi...
  5. Neewly

    Historia ya uundwaji wa Mikoa Tanzania

    Sisi sote ni watanzania tena huru kwahiyo tujitahidi sana tunapotoa hoja zetu au maoni yetu tuhakikishe hatukandamizi kabila au dini ya mtu..
Back
Top Bottom