Recent content by neemavenance

  1. N

    Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

    Na adeni rage hayupo kbs hata akitumia uchawi
  2. N

    Yametimia,mkutano wa dr. Slaa wakwama Kahama,wananchi wasusia mapokezi na mkutano

    Tofyo acha ujinga na uongo wako wewe utasutwa.
  3. N

    Rais Jakaya Kikwete amteua Dkt. Asha-Rose Migiro kuwa mbunge

    Mtaendelea kutawaliwa mpaka mnakufa. Kwani hakuna wengine wenye uwezo?
  4. N

    Nasema kwaheri CHADEMA iwapo....

    Kwakweli hata mie ntajitoa. Roho watanzania wengi tunaangamia kwa kukosa maarifa mnalilia hela za ruzuku hizo sh mbili mmesahau hela zilizoko uswisi za mafisadi wa ccm na epa. Mbona tunakua wepesi wa kusahau na kukimbilia kuchoma office za cdm? Naongea na nyie wa mwanza. Ccm walipowakumbatia...
  5. N

    Tamko la Wanachadema Mkoa wa Mwanza - Sababu zilizotolewa na kamati kuu hazikubaliki

    Mnajisumbua na hayo matamko yenu ya kishamba. Kwani chadema co nyie tu mnaoonekana hata cc tuliojificha ni chadema kwahiyo huyo zitto kawauma nn nyie wa mwanza kuliko wa kigoma ndugu yao km co unafki ni nini? Mnaangalia ubaya wa ccm na kusahau unyonyaji uliofanywa na ccm toka uhuru. Acheni...
  6. N

    Kikao cha KUB Kukutana Wiki Hii Kumvua Rasmi ZZK Nafasi ya Naibu KUB!-Busara Zaidi Itumike!.

    Big up chadema hakuna kulea viongozi wasiokua na misimamo wanaorubuniwa. Km ccm wamepoteza kwa kulea mafisadi.
  7. N

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Singida ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ni wanafiki...

    Wanaojihudhuru wanafki tu. Hawakua wanakipenda chama walikua wanampenda zito. Waondoke nae wakaanzishe chama cha wanafki chadema msivunjike moyo huo ni upepo utapita. Mangapi ya ccm yamepita bwana?
Back
Top Bottom