Kwakweli hata mie ntajitoa. Roho watanzania wengi tunaangamia kwa kukosa maarifa mnalilia hela za ruzuku hizo sh mbili mmesahau hela zilizoko uswisi za mafisadi wa ccm na epa. Mbona tunakua wepesi wa kusahau na kukimbilia kuchoma office za cdm? Naongea na nyie wa mwanza. Ccm walipowakumbatia...
Mnajisumbua na hayo matamko yenu ya kishamba. Kwani chadema co nyie tu mnaoonekana hata cc tuliojificha ni chadema kwahiyo huyo zitto kawauma nn nyie wa mwanza kuliko wa kigoma ndugu yao km co unafki ni nini? Mnaangalia ubaya wa ccm na kusahau unyonyaji uliofanywa na ccm toka uhuru. Acheni...
Wanaojihudhuru wanafki tu. Hawakua wanakipenda chama walikua wanampenda zito. Waondoke nae wakaanzishe chama cha wanafki chadema msivunjike moyo huo ni upepo utapita. Mangapi ya ccm yamepita bwana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.