Bosi wangu hajawahi kamwe kunitongoza achilia mbali kunionyesha ishara ya kunitaka, he is from England, hawa watu huwa na heshima kwa wafanyakazi wao pamoja na wake zao
Sawa kaka, kweli Bank sina haja ya kuwa chokonoa kwani hata hivyo pesa yao iliyobaki ni kidogo sana baada ya kuwa wamechukua mshahara wangu wote. Kwa sasa wanahitaji nusu tu ya mshahara wangu wa mwez huu kumaliza deni lao.
Hii kesi ilianza na mfanyakazi ambaye alikuwa manager wangu kama...
Siku nakuja kuchukuliwa nilikuwa ofisini naendelea na kazi, polis wakaenda kwa bosi na kumwambia kuwa katika upelelezi wao wanaomba wanichuke na mimi, hapo ndiko nikaondoka nao mpaka kituoni. Nikaa ndani kwa siku 3 then nikapata dhamana. Nilipotoka nika mtumia bosi sms kumuuliza kama kesho yake...
Asante sana kwa ushauri wako, binafsi sina nia ya kwenda mahakami kwani bado ninalipwa mshahara, nilitaka kujua kama bank wana haki ya kuchukua mshahara wangu wote nje ya makubaliano ya awali ili hali bado sijaachishwa kazi
Nilikiwa na mikopo miwili, mkubwa wa bank na baadae nikakopa kwa bosi, mwezi huo huo niliyochukua mkopo kwa bosi ndiyo matatizo yalitokea kupelekea bosi kukata pesa zake zote mara moja tofauti na makubaliano ya kukata kwa awamu tatu. Kiasi kilochobaki alipeleka bank kama kawaida na bank wakakata...
Asante sana mkuu, lakini bosi mshahara alipeleka wote ila bank ndiyo waliamua kukata pesa yao yote kama rejesho kutokana na taarifa walizozipata kutoka kwa bosi. Kosa lilitendwa na manager wangu ambaye ni mtu wa karibu sana na mimi, so uchunguzi unafanyika kubaini kama nami nilihusika ama lah...
Mkuu nimekuelewa, je kwa hapa nilipofika naweza kwenda ofisini au niulize kuwa kama naweza kwend kwa bosi? Mana nilipopata dhamana niliuliza kuwa niende bosi akasema, niongee na mwanasheria wake,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.