Recent content by Neek

  1. N

    Matokeo ya Usaili TRA Kutangazwa Aprili 25, 2025

    Hahaha tiharaheyii bwana
  2. N

    Kama ulifanya paper ya customs officer ii TRA fungua hapa ujionee.

    Na kweli lilikuwa na 5 marks only maana iliandikwa kabisa section three 5 marks
  3. N

    Tupeane ABCs za Aptitude test Tanzania Commercial Bank post ya RELATIONSHIP OFFICER.

    Nimekuta nimetumiwa email hii. Post ilipostiwa humu; https://www.jamiiforums.com/threads/relationship-officer-ii-4-posts-at-tanzania-commercial-bank-february-2025.2307478/
  4. N

    KUMEKUCHA! KUMEKUCHA WALIMU WAPYA.

    KUMEKUCHA, Walimu waliofanya usaili wa mahojiano pekee waitwa kazini tayari
  5. N

    Natafuta kazi ya uhasibu au kazi yoyote ndani ya mji Tunduma au mkoaa wa Songwe

    Hahaha usomi wa siku hizi inamaana hata yeye mwenyewe hajijui ni nani kwa miaka 3 yote chuoni
  6. N

    Naomba kujua kama kuna mtu aliyeomba nafasi za DSS NMB akatumiwa email kwa ajili ya Aptitude Test

    Nimefanya tayar test nina 57..5% wadau wengine vip uko? Maswali 40 kwa dk 20 tu
  7. N

    Hussein Bashe amechoka Uwaziri na kuamua kumchafua Rais Samia kwa Watanzania?

    Mwandishi umeegamia upande mmoja haukumskiliza Mh. Bashe alivosema hadi mwisho, alisema hivi "ataenda kuonana na wananchi wa kisesa na kuwauliza kama zile tuhuma anazozitoa mbunge wao ni tuhuma ambazo na wao wanaziamini zipo basi serikali haitapeleka kweli hizo dawa lakini kama sio maoni yao...
Back
Top Bottom