Vijana ote mliochagulia collage of informatics n virtual educatio(cive) udom...krbun sn mje mjionee tofaut ya maisha...sehem nzur ya kujifunzia
Nb. Ni collage kama sio ya kwanza bas ya pili inayoongoza kwa kufungisha watu virago kurud nyumban so msuri n kitu muhim... Siwatishi ila karbun...
Nipende kuwapongeza kwanza wale wote waliopata nafasi ya kuchaguliwa katika chuo kikuu cha Dodoma(UDOM).
Pia niwapongeze wale wote waliochaguliwa course hii ya bach of science in multmedia technology and animation (MTA) ....inawezekana ukawa hujaisisika sana lakini ni kozi nzuri inayopatika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.