Hahahahahaha hebu tutumie bible na vitabu vingine vya kihistoria kama reference.Yaani unataka tumtumie huyo fake pastor kama reference!
Kuwa serious kidogo basi na ikibidi tupe elimu ya huyo pastor!
Misri ni nyumbani kwa mtu mweusi kama ilivyo Sudan.Mwarabu akishafika sehemu ana tabia ya kufukiza au kufuta kizazi.
Kemet ni nyumbani kwa watu weusi.Mwarabu alivamia!
Uislam ni dini iliyojengwa kwa misingi ya uongo na kujinasibisha kwa mila na tamaduni za mayahudi.
Haya nambie nabii gani nje ya Muhammad amewahi hata kuitaja al kaaba au kwenda kuperform Umrah.
Kihistoria Abraham hakuwahi kufika Mecca huyo usimhusishe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.