bado taarifa ina ukakasi eti uishi kwa kutegemea mikeka !!
hapo polisi wamechemka labda kama anafanya na forex na vit vitu vingine.
nchi za wenzetu kawaida.
Majiran wanawezz kukushtak kisa unafungulia mziki juu, aliingia mtu kwako hawajaona akitoka, au kukuhisi unafanya biashara haramu.
Unaweza ukaniambia mataifa ambayo kiasili ni ya kiarabu ukilinganisha na leo ambapo Waarabu wamesambaa na kutwaa ardhi North africa ??
sasa apo nani wenye uchu wa ardhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.