Jamani msaada.
Nilijiunga na bima ya maisha ya Sh.3,000,000 na Shirika la Bima la Taifa (NIC) tangu mwaka 2012 kwa makubaliano ya kulipwa 20% kila baada ya miaka 3.
Lakini mpaka sasa ni miaka 8 sijapata chochote nimefuatilia ofisi za bima Sumbawanga lakini kila siku naambiwa subiri, nimewapigia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.