Ni ajabu kweli yaani waliokua wanasimamia mgawanyo wa fedha ndio wanaenda kushitaki kuzulimiwa hata hivyo Mimi siwashangai washtaki bali namshangaa jaji aliepokea kesi
Huyo mkunda mwenyewe nayeye aliishia kulalamika tu kama wewe kwamba nchi inawahuni wa nje wamejipenyeza na Wana mamlaka makubwa wakuikomboa hii nchi hayupo ndg
Wewe mjinga hujui hata historia ya mgodi wa almasi shinyanga? Nyerere aliongoza nchi kwa kutegemea huo mgodi tu na watu walisoma Bure mpaka nje ya nchi alafu wewe unatuletea blaablaa zako hapo huku ujkujidai mkristo nani alieuliza dini yako? Au hoja za polepole zinausiana na Dini wapi?
Chadema hawajakosea wao wanawakumbusha fifa inawezekana vipi club ya Mpira kumsaidia pesa za kumsulubu mpinzani wake? Je ni sahihi na ni haki? Fifa watusaidie majibu
Hii mototo iliyokulia kwa pesa za laana baba yao angekua madarakani Leo wangekua wanaiponda chadema na kuzarau maskini ila karma imewatembelea wanalia kuliko chadema na maskini wa nchi hii tatizo hawajui kwamba wako kwenye kutumikia karma
Hichi chama Cha chauma sijaelewa sera zake ni zipi maana kila mwanachama wake anapoongea anaizumgumzia chadema utafikiri chadema ndio IPO mamlakani Sasa sijui chadema ndio sera yao watakayopeleka kwa wananchi ili wachaguliwe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.