Pongezi kwa Pole Pole na Nape.
Jamani sijaamini kama CCM wangekuwa na mchezo mchafu wa mfimo wa uchaguzi.
Tumlinde Pole Pole kwa nguvu zote na tumsamehe inawezekana kipindi akiwa kule alikuwa hana nia mbaya ila yeye akawa anafuatilia mambo muhimu na ameshaanza kuporomoa.
Kila kipindi cha Pole...
Hapa viongozi wa Dini, taasisi za kiraia na kimataifa, Wanasheria waungane na wananchi kutibu hiki kidonda. Tuombe bunge la kimataifa itoe mwelekeo kwa raia liamshwe chapu.
MUDA WA RAIS UMEISHA AKAE PEMBENI KWANZA TUSAFISHE MATAKATAKA YOTE NA KUFLASHI VIRUSI VYOTE VYA CCM ILI TUINGIE KWENYE...
Hichi kipengele cha CCM na NIDA nakikubali ni kweli.
Mfano Tulia, Majaliwa na Samia wanakopesha mitandaoni online ukiomba cha kwanza ni kitambulisho cha Nida au kupiga kura. Ukiwauliza ofisi zenu zikowapi wanajibu ofisi ziko online.
Na wanahitaji picha na kitbulisho
Nchi ipo kwa matapeli si...
Mama kwa heri tutakutana mtaani.
Jeshi karibuni muandae nchi ikae kama wananchi wanavyota na katiba ya nchi iwekewe ulinzi wa kutosha asitokee kirusi kama CCM akaiteka na kuuwa raia.
Muliro umekula vya kutosha ukae pembeni ukaombe msamaha kwa familia ulizowatesa na kuuwa.
Mnasubiri nini? Hapa ilipo hii kesi itaumbua watu na imefika patamu.
Wewe unaonyesha una roho mbaya sana inawezekana hata huna familia.
Maisha yako unapenda kunyonga nyonga wenzako. Unamwazia mwenzako mabaya.
Kwani baba yako na mama yako hawapo ukawafungulie mashitaka ya kukuleta dunoani...
Puuzeni mambo yote lakini kanisa likiamua serikali inakaa chini.
Wakiamua kuishambulia serikali, lazima iwasambaratishe.
Kumbuka Jeshi, Dola na serikali ni waumini wa makanisa hayo.
Serikali halina jeshi la kupambana na raia wote Tanzania.
Ndugu zangu kama hapa duniani kuna dhambi inayoumiza watu kama kunyanyasa, kumwonea au uwongo.
Nasema hivi nikiwa na maana sisi tunamfahamu mwenzetu LISSU anapewa kesi ambayo sisi tunajua ni uwongo kabisa.
Wanasheria wafungue Kesi mahakama za kimataifa kuishitaki Mahakama za Tanzania
Mimi sio...
Miaka ya nyuma walikuwepo chama gani au serikali gani mpaka leo Samia anatokea porini akaokota vijana na kuwaajiri.? Au ameajiri watekaji na wauwaji. Na hapo tupate majibu.
CCM watalazimisha uchaguzi kufanyika na utafanyika na watashinda. Je mtawala atatawala kweli au atakuwa kivuli.
Waliokuwepo uchaguzi wa 2020 waliona yaliyompata mwenda zake mpaka akajificha Chato mwisho wa siku akajiondokea zake taratibu.
Watu wakala mambuzi wakashinda mabaa wanasherekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.