kwa kifupi,wakati upo dar ulikuwa chini ya jamaa yake mpya wa tumaini.Sasa upo USA umepanda chati kuliko jamaa yake,hivyo ukimrudia akija USA atakutana watu walio juu yako ki uwezo,uelewa etc,so atakuacha na kuhamia kwa jamaa aliye juu yako.
so kaka akili kichwani kwako,kama bado unaisikiliizia...
Bora wajae vyuoni,hii itaweka level ground ktk exams,degree za chupi zitapungua and ma lecturer watakuwa na adabu kidogo,ila pole sana kwa ma lecturer ambao hawana VVU watakuwa na mgumu kujilinda kwani vitoto vya siku hizi vina full confidence and techniki za kumnasa mwalimu anaingia ktk line...
how can some one learn how to jive in the south African kwaito moves,it would be an ideal exercise dance in the local gyms.
naomba link to a video or youtube file on this dance moves
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.