Recent content by ndikulonda

  1. ndikulonda

    GE2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

    Nape ajifunze kwa celina Kombani na Komba dhidi ya Warioba. Msije mkashangaa Nape anakufa kabla ya Lowasa, Kifo ni kifo hata kama ni ajali, Cha muhimu kujua ni kwamba hesabu za maisha ya binadamu ziko mikononi mwa Mungu.
  2. ndikulonda

    Zitto, Kafulila washambuliana

    Kama ni kutengenezwa, hata zito alitengenezwa na Mbowe. Lakini mbona amemsaliti? Kwa hiyo zito asishangae, mambo ya usaliti ameyaanzisha mwenyewe
  3. ndikulonda

    CCM Pamewaka moto majimboni! Wagombea wao kupoteza majimbo

    Kwani kinana naye anagombea ubunge, mbona simwoni akizunguka na mgombea ili hali yeye ni mwenyekiti wa Kampeni ? Bila shaka kuna tatizo lingine ambalo halisemwi ndani ya timu ya kampeni ya ccm
  4. ndikulonda

    Timu ya kampeni ya Dr. Magufuli yasambaratika

    Hebu tueleze vizuri ndg yangu, kule ccm, Lowasa alikataliwa kwa kura ngapi?
  5. ndikulonda

    Kulikoni Kinana, mwenyekiti wa kampeni za CCM?

    Kinana ndiye mwenyekiti wa kampeni za ccm akiongoza lile kundi la watu 32. Tofauti na uchaguzi wa 2010 ambapo Kinana alikuwa anazunguka na mgombea urais wa wakati huo ndg Kikwete, safari hii Kinana hazunguki na Magufuli. Kuna nini nyuma ya pazia? Je, kuna mgawanyiko ndani ya timu ya kampeni ya...
  6. ndikulonda

    Rais Kikwete amevunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977

    Katiba hiyo inasema Waziri ni lazima awe mbunge. Bunge lilivunjwa mwezi wa nane lakini hadi leo mawaziri wanaendelea na kazi zao kama mawaziri licha ya kwamba siyo wabunge tena. Kama Rais anaweza kuvunja Katiba kirahisi namna hii, ni nani au chombo gani kinaweza kumchukulia hatua kwa kosa la...
  7. ndikulonda

    Polepole: Hii ndiyo sababu UKAWA hawazungumzii sana ufisadi kwenye majukwaa ya Kampeni

    Katika kipindi cha mada motomoto Channel ten, Polepole amesikika akisema UKAWA hawazungumzii tena ufisadi kwenye kampen zao. Nimjulishe kwamba CHADEMA/UKAWA wameeleza waziwazi kwenye ilani yao kwamba wakishika dola watarudisha rasimu ya pili ya Warioba na kutengeneza katiba ya wananchi. Katika...
  8. ndikulonda

    Mkakati wa CCM kudhohofisha UKAWA umevuja

    Wengi watavaa nguo za kijani lakini watampigia kura Lowasa
  9. ndikulonda

    Viongozi Wakuu wa NCCR - Mageuzi Watoa Tamko, Waikosoa UKAWA

    Nahisi ile press conference aliyoifanya Mbatia juzi imekiumiza sana chama cha ccm hivyo imepenyeza fitina ndani ya nccr ili kumkomesha Mbatia. Ndio maana press conference yao imefanywa na star tv,kituo cha tv ambacho kinaipiga vita sana ukawa. Lakini wamechelewa, mabadiliko huwa hayatazami nyuma.
  10. ndikulonda

    Gazeti la Uhuru: CHADEMA waingiza vijana msituni

    Ukiona hivyo ujue ccm maji yamefika shingoni
  11. ndikulonda

    Dr. Slaa kesho atasema nini?

    Umeeleza vizuri sana Kavulata. Hapo kabla alitufundisha kwamba 1 + 1 = 2 akasema ccm ni majizi ni mafisadi hayafai. Akasema yamefisadi meremeta, richmond, epa, escrow nk. Leo hii mwalimu huyu amegeuka anatufundisha kwamba 1 + 1 = 1. Eti sasa ichagueni ccm ni safi. Mwalimu wa namna gani huyu...
  12. ndikulonda

    Lowassa awadhihaki Watanzania eti TANU na CCM havijawasaidia

    Jamar Said Kule Sumbawanga Jimbo la Kalambo, ndg Josephat Kandege mgombea kwa tiketi ya ccm alizomewa na wananchi mbele ya Magufuli wakati akitambulishwa awasalimie wananchi. Baada ya zomea zomea hiyo, magufuli akamwita aliyeshika nafasi ya pili jukwaani.Alipopanda akaanza kushangiliwa na...
  13. ndikulonda

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    Suala la Lowasa kuhamia Chadema, limefichua tabia halisi ya Dr Slaa iliyokuwa imejificha. Jina la Lowasa lilipelekwa kamati kuu ya Chadema ili kupigiwa kura. Katika kikao kile Dr Slaa alieleza kwa nini Lowasa hastahili kupeperusha bendera ya Chadema katika uchaguzi wa mwaka huu ikiwemo kashfa...
  14. ndikulonda

    Nina MaSwali kwako Dokta slaa

    Kwani kuna uadui wa kudumu ndg yangu? Katika maisha yako, hakuna watu uliokorofishana nao sana kisha baadaye mkaja kuwa marafiki tena? Hayo ni maumbile tuliyopewa na Mungu ndio maana unalia sana unapopotelewa na ndugu wa karibu lakini baadaye unasahau na maisha ya kicheko yanaendelea.Hakika...
Back
Top Bottom