We were not protectorate, but we were mandatory. Protectorates were Uganda(Kabaka regime) and Sultanate regime(pwani yote toka Mombasa, Lamu, Malindi, Pemba, Tanga, Pangani, Bagamoyo, Dar, Lindi, Mtwara, na sehemu ya Msumbiji)
Tulipata uhuru bila machafuko kwa sababu Tanganyika ilikuwa Mandatory chini ya UN, Mwingereza alikuwa mwangalizi.
Kama tungekuwa koloni sawa na Kenya isingekuwa rahisi kupata uhuru bila vurumai
Perception yako juu ya siasa na wanasiasa wa upinzani imekaa vibaya sana.
Haya ni mambo ya kijamii, yanayo hanikiza mifumo ya utawala, ujenzi wa uchumi, democrasia, na hata mambo ya ulinzi na usalama katika nchi.
Mtazamo hasi dhidi ya binadamu mwenzako huleta athari katika maisha yako na au...
Shida ya DRC wanapigana kizamani. Wangenunua madenge ya kivita na Drones, M23 wasingefurukuta. Kwa kipindi cha miaka 2 au 3 iliyopita, wangepeleka vijana wao kwenye MAFUNZO ya Usniper Canada au Marekani, sasa hivi wangeshamaliza kozi na M23 wangeipata.
Vita ni zana naTechnologia. Siamini kama...
Hiyo si ndiyo matokeo ya usimamizi wa CCM kwa serikali yake?
Kwani unadhani ni sehemu ngapi za nchi watu hawapati maji?
Tunaposema tunatakiwa kubadilisha utawala Mbona mnatusimanga na kung'ang'ana na CCM, leo unalalamika kukosa maji? Really? Usijitoe ufahamu bhana.......
Kinachosababisha CCM kushindwa kulifanyia kazi suala la Sera ya majimbo ni '' ITIKADI Yao'' ya ujamaa ambayo sasa imeshakwama kwa karne tuliyonayo na huko tuendako.
Hakuna namna zaidi ya kuanzisha utawala wa majimbo, kwa maendeleo ya Taifa letu.
Mfumo wa utawala wa majimbo huleta ushindani wa...
Neno HAKI limeanza kutamkwa baada ya Mbowe kukutana na Rais na kutangaza walichokubaliana kukihubiri badala ya kuhubiri amani wakati haipo. Hii kuwa ni msema kweli na mtenda haki itajulikana pale mazungumzo Kati yake na Chadema, na CCM yake kama mwenyekiti yatakapokamilika.
Sehemu kubwa ya...
Wewe naamini huwezi Kuwa mshindani wa chochote kile, maana unatangaza kushindwa mapema.
Hayo mawazo ya nani atafaidi unaonyesha wewe unawaza ubinafsi zaidi kuliko jamii.
Mbowe Leo afaidike na nini kwa mazungumzo hayo?
Kwamba yuko pale kutafuta fadhila au?
Tuna safari ndefu sana kama Taifa.
Kumbe CCM wanatukana!!!! Mbona mmekuwa mnashambulia vijana wa Chadema kwamba ndiyo wanatukana?
Kumbe hata hoja hawajui kujenga, wala kuandika kwa mtiririko unaoeleweka? Asante sana mdau!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.