Nchi ya Tanzania imewekwa mfukoni mwa ccm na genge Lao tunahitaji uhuru wa kweli.
kitendo cha kuchezea mifumo ya kupiga kura kinaonyesha kuwa Havana mango wa kuiachia nchi hii kwa njia za haki na vyombo vyote vya ulinzi na usalama havina cha kuwafanya au vinahujumu madhumuni ya kuundwa kwao ...
Uko sahihi huyu Zito ni mjinga kama chaguzi zote zilizofanyika na kura kuwa zinaibiwa yeye leo ndiyo amejua namna kura zinavyoibiwa basi kama siyo mjinga ni nani.
Katika vitu tunavyofanya visivyokuwa na tija kwa watanzania na vimewekwa kwa ajili ya watu kupigia pesa ni mwenge na huu mwenge ni Ushirikina wa CCM unawapumbaza watanzania ukipita tu . Pia ni unachangia pakubwa sana kuvuruga amani ya ndoa za watu,kusababisha UKIMWI na magonjwa ya zinaa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.