Shida ni wezi waliopo Magufuli stand, stand ina wezi wote walioshindikana, stand ina wazururaji wote walioshindikana waondolewe kwanza wabaki wastaarabu.
Mkuu naleta tena masihara, tunaovuna maji ya mvua hayahitaji kusafishwa mpaka nilete masihara tena, kama Nina kisima changu cha Lita elfu 50 INA maana siwezi kuyasafisha??
Ni kweli mkuu ila kwa kweli nilipitiwa na sijui ni kwa nini najilaumu sana mpaka sa hivi nilifanya kosa kubwa sana, ila watu wenye tabia ya kutangaza ni shabiby ingekuwa walitangaza ningeweza nikashtuka mapema lkn haikuwahi kutokea kutangaza hivyo na begi hata sikuwa nimeliweka mbali sana ni...
Jamani sikulewa, nilikuwa nasafiri kikazi kuelekea dodoma kutokea kituo kikuu cha mbezi, niliweka begi langu kwenye staff carrier ya ndani Bahati mbaya sikuchunguza Mara kwa Mara kuwa begi lipo halipo nilikuja kugundua wakati WA kushuka kituo cha mwisho yaani Dodoma ziliko ofisi za BM kwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.