Recent content by Ndata

  1. Ndata

    ACT ANAKULA CCM ANATAKA KULALA CHADEMA, MKATAENI

    COMEDY ZA NDUGU ZANGU ACT. Kwanza moja ya maombi makubwa ya ACT ni Chadema asishiriki uchaguzi, hii itampa nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani na Zitto kuwa KB automatically. Hivyo Chadema wajue kabisa ACT wanalao kwenye hili. Pili, Chadema kwenye movement yao ya NO REFORM NO ELECTION...
  2. Ndata

    Serikali inaagiza sukari nje karibu kila mwaka wakati Tanzania inaweza kuwa inaongoza kwa uzalishaji wa muwa unaoachwa ufie shambani

    Serikali inaagiza sukari nje karibu kila mwaka wakati Tanzania inaweza kuwa inaongoza kwa uzalishaji wa muwa unaoachwa ufie shambani kwa maslahi ya wachache. Mwaka 2022 nimechoma zaidi ya tani elfu moja kwa kigezo cha muwa umepitiliza muda wa kutengeneza sukari. Tani elfu moja ni tunaongelea...
  3. Ndata

    Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    😂 😂 😂 😂 bila yeye isungewezekana
  4. Ndata

    Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

    Maandalizi ya 2025 yameanza Rasmi. Hofu ya mama ni kaskazini ilipo ngome ya Chadema. Dawa ya wanasiasa wabishi ni mwanasiasa mbishi Makonda. Karata zinaendelea kuchangwa, Lema tayari kapata dawa yake. Tuendelee kuimba anaupiga mwingi kwa sauti ya Mbowe
  5. Ndata

    Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    Kwakua mitume inasemwa basi endeleeni kumsema yawezekana pia alikuwa mtume
  6. Ndata

    Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    He is no more, tukiendelea ku deal na marehemu aliopo nae tuta deal nae akifa?
  7. Ndata

    Bashe hana jipya zaidi ya Siasa kwenye Wizara muhimu

    Ni jukwaa huru bro, unaweza underline mazuri yake kama waziri wa kilimo. Article yangu haikuwa kwa ajili ya kumpongeza ila kumsema kwa mianya mikubwa inayotuumiza wakulima yeye akiwa kakaa ofisini pasipo kuchukua hatua
  8. Ndata

    Bashe hana jipya zaidi ya Siasa kwenye Wizara muhimu

    Ni sahihi pia kuona anajitahidi ndugu. Lakini wakulima haswa wa mazao yasio nafaka bado tunaumizwa sana na hatuoni akichukua hatua. 1. Kahawa 2. Muwa 3. Parachichi Tunaomba kwanza waondoe sheria ya mkulima kuwa controlled na vyama vya ushirika ambavyo lwa asilimia kubwa vimejaa upigaji na...
  9. Ndata

    Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    Nyie nao bila kumtaje Magu huwa hamuwezi kuongea chochote. Huo ni ugonjwa
  10. Ndata

    Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    Hivyo tuendelee kumsifia?
  11. Ndata

    Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    Marais husifiwa ila kwa mama imekuwa too much
  12. Ndata

    Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    Hahahahaha tuache watu watetee ugali na kuutafuta ugali kwa kujikomba
  13. Ndata

    Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    Bungeni ndio kisanga
  14. Ndata

    Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    Sawa watu wa mama
Back
Top Bottom