Wote ni walewale,huyu msekwa imemkera kwa sababu kijana kafichua ukweli, kwa kusema siri ya wanene (baraza la mawaziri). tunaona huku mtaani wanavyogawa madila,10,000/= na kuwadanganya wanainchi kuwa upinzani uchaguzi huu watapata madiwani wa kutosha na si wabunge na Rais.Haya wanayasema kwa...