Recent content by Ndalilo

  1. Ndalilo

    CRDB Mungu anawaona. Mnatunusisha mahela halafu mnayatoa

    Kama ni mtandao wa CRDB uko chini/haufanyi kazi kwa wakati huo, basi hakuna mahali utaweza itumia hiyo kadi, mawasiliano hakuna.
  2. Ndalilo

    Fundisho la Upatanisho Halikufundishwa na Yesu Bali Lilibuniwa na Paulo

    Umechochora tena, unajibu kwa hisia kipande kimoja! Mada yako imekuzidi uwezo.
  3. Ndalilo

    Fundisho la Upatanisho Halikufundishwa na Yesu Bali Lilibuniwa na Paulo

    Umechochora mwenyewe kwenye mada yako? Jamaa kakupiga spana, pangua hizo hoja mzee, utete uongo wako! Post #16 isipojibiwa kwa hoja, funga mada.
  4. Ndalilo

    Wakatoliki gani walifunga?

    Zaidi ajue huwa hawajitangazi hata wakiamua kufanya mfungo wa kiroho na kimwili. Hawapambani na vishawishi kwa vurugu ila kwa sala!
  5. Ndalilo

    Ni ukweli CCM inaweza kuwa imeingilia kanzi data ya NIDA!?

    Majibu hayo ni kama kuambiwa u-mgumba; ukijua ni mateso, usipojua ni mateso, huna unaloweza kufanya. Yooote wanayoyajua watanganyika kuhusu ccm, kuna wanaloweza kubadili? Wameshawahi kufanya jambo tofauti?
  6. Ndalilo

    KERO DSTV ni Mr. Kuku wa kikaburu

    Unahama vizuri tu mkuu...piga Azam full package uone, mixer router, ma-youtube blah blah hivi, uone hata kama utahangaika na hizo mambo tena!
  7. Ndalilo

    Watu wa IT(wabobezi wa masuala ya teknolojia)

    Inahusiana na uhuru wa INEC?
  8. Ndalilo

    Uislam ndio dini pekee ambayo wanawake huvaa kwa kujisitiri kama Bikira Maria, Wakristo wengi wapo NUSU UCHI

    Kwahiyo unasema hizo dini zikitokea magharibi na mashariki ndio msingi wa mavazi sio? Baada ya hapo, unasema tuache kuvaa kulingana na hao wa kimagharibi na kimashariki sio? Wamagharibi, wana evelve na mavazi yao, elimu na mtindo wa maisha yao...tunaoenda kuwafuata kwaajili ya elimu...
  9. Ndalilo

    Uislam ndio dini pekee ambayo wanawake huvaa kwa kujisitiri kama Bikira Maria, Wakristo wengi wapo NUSU UCHI

    No, namaanisha...kama uislamu ulianza baada ya Mudy kufikisha miaka 40 duniani, mavazi ya akina Sikujua yalikuaje huku? Yaani, kabla ya biashara ya watumwa na utawala wa sultani, mavazi yalikuwa ni yapi?
  10. Ndalilo

    Mwenye risiti za SMZ kulipia bili yote ya umeme waliyokuwa wakidaiwa, ailete hapa tafadhali🙏

    Shein akiwa airport pale, akiwa na habari za kudaiwa umeme na Jiwe, akang'aka, '.....tutawasha vibatari...', na ilikuwa pesa ndogo, bilioni 10!
  11. Ndalilo

    Uislam ndio dini pekee ambayo wanawake huvaa kwa kujisitiri kama Bikira Maria, Wakristo wengi wapo NUSU UCHI

    Lakini haya mambo si inategemea tu na mtu? We umejuaje kuwa huyo aliyevaa kilemba na gauni ni Muislamu na huyo mwingine ni Mkristo? Wale waarabu wanaocheza na vigwaya tu, chupi na vishanga vya kuning'inia, hawa ukiwahukumu moja kwa moja, unaweza kueleweka; wanaishi kwenye Shariah hawa.
  12. Ndalilo

    Tuwe Wakweli Wazanzibar ni Wazalendo kwa nchi yao na kwa Tanzania lakini Watanganyika Huifisadi Tanganyika na Tanzania kwa tamaa za matumbo yao!

    Kwa tawala zote zilizowahi kuwahi kuwepo, ufisadi mkuu uko Zanzibar. Kwa miaka kadhaa wamekuwa na bajeti ya bilioni 480 kwa mwaka wastani, kuanzia kwa miaka ya Magu, ndo ikawa trilioni 1. Hoja sasa, ardhi inaukubwa gani ile kushindwa kuwa Dubai mpya kwa miaka 5 tu ya bajeti ya trilioni 1 kwa...
  13. Ndalilo

    GE2025 Askofu Gwajima: Naombeni ndani ya siku 10 fungueni Makanisa ya Ufufuo na Uzima, msipofungulia nitasema neno ambalo watu watastaajabu!

    Haya mambo ya kutishia tishia mpaka mmewafanya hawa wa KIJANI kuwa sugu sasa... Ukimsikilizia Mpina utadhani hapo hapo...hola Mara anatokea Gwaji, unasema kesho kinawaka...hola Vuuuum, slo slo huyu...imegeuka shule na ushauri nasaha Wale wa humu nao washapoteana...wamebaki kujifariji...
Back
Top Bottom