Mkuu, huwa kunakuwa na makadirio tu ya bajeti peke yake?
Hakuna(ga) ripoti ya matumizi halisi ya mwaka mzima?
CAG huwa asemi labda eneo fulani lilitengewa bajeti hii, mpaka mwisho wa mwaka wa fedha wamepokea kiasi hiki na kiasi hiki ndicho walichofanyia uchawa kama zawadi ya kusifu kizimkazi...
Bilioni 69 mnalipana kama posho
Bilioni 88.89 ni matumizi ya kawaida? Yapi?
Bilioni 19 ndio mishahara?
Trilioni 1.794 ndo za kupigwa zaidi?
Mwamba alipokata hizo OC na matumizi ya kawaida, walibweka sana! Kumbe ndo ilivyo hivyo!
- Mtumishishi analipwa 800k, anaishi nyumba ya 350k kwa mwezi...
Taarifa za kupotea ziliripotiwa? Kituo gani?
Kituo kimoja kina muungano wa kimawasiliano na kituo kingine?
Taarifa ya upoteaji wa mtu kwa hapa Dar, haipaswi kuwa ni taarifa ya Mkoa wote wa kipolisi, instantly?
Mwili haukutambuliwa, kama taarifa za watu kupotea zilivyoshamiri, taarifa za watu...
Mkuu, kama Babu Tale aliipata, thamani gani iliyobakia nayo?
Wakashtuka kuwa huo mkakati utadharaulika mapeeeema, wakalisema mjengoni.
Kuna ile tuzo ya Africa ya maraisi ile, ngoja tuone kama wataweza kuinunua...
Wangesema hivi, Mh PM,
Demand ya nchi ni...........
Installed capacity ni............
Active units ni sawa na MW..........
Mh PM, kutokana na Active and available units kuwa uwezo wa MW...., zaidi ya demand ya nchi kwa kiasi ....., tumeamua kuzima mtambo A wa ukubwa wa MW..., B, C, D na E...
Mwishoni mwa mwaka jana walisema ujenzi unaanza April, kuna daraja limesombwa kule, wakasema hawana haja ya kujenga lingine kwa muda kwakuwa ujenzi wa barabara unaanza April.
Km 9 zinaanzia wapi na kuishia wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.