Recent content by Ndalilo

  1. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Mimi naona Kuna wakati mambo yanakuwa magumu kwa kujitakia sisi wenyewe

    Kuna hoja unaielezea mkuu ila uandishi huo na hii weekend, unanikosesha madini makusudikali! DOse dose!
  2. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    Fahari...soda maridhawa sana! Niliiona kwa ufupi sana....mwenzie alikuwa Vimto aisee! Kuna namna na sisi GenZ tulihusika na life lenu wahenga!0
  3. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    Mkuu, kwa sisi gen z, hiyo 2000 mwaka 1996 ilikuwa ya pamoja? Au ndo mkusanyiko wa noti nyingi?
  4. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania China yaanzisha utaratibu wa kuwasherehekea wanasayansi kwenye mbao za matangazo

    Tukifikia hiyo hatua ya kuwathamini watu na vitu vyao, ujue kiama kiko umbali wa dakika 3.5 Angalia kuanzia juu kabisa...kama hao ndo think-tank na visionaries wetu, hatujui tuendako!
  5. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Jinsi dhana ya "Utatu" na Mungu kuwa na "Mwana" inavyomshusha hadhi Mwenyezi Mungu

    ..sifa hazimpasi Mungu kuwa nazo...? UKAMILIFU na UTAKATIFU ni nini? Ukamilifu na utakatifu huo ni kwa mujibu wa imani au uelewa upi? Ujinga...si kweli, huwezi kumpa hata mtu unayemuheshimu, sembuse tunayeamini kuwa ni Muumba? Kulala na kuchoka ni hoja zenu kubwa katika kumpinga Yesu sio...
  6. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Elimu ya ununuzi wa magari used, hasa haya ya Ujarumani

    Huwa wanasema(ga) kuwa gari za aina fulani ni mbovu......kumbe wakolokoaji ndio hamna kitu. Kila service ni kumwaga oil, kubadili filters na kujaza upepo! Hakuna anayeangalia Maintenance schedule! Ufundi wa walio wengi ni wa kurithishana, hawana reasoning juu ya wanachofanya! Toyota ni rahisi...
  7. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Wakuu nasikia G Malissa katekwa heti,si alikuwa nje ya Nchi,imekuaje Tena?

    Yule binti.......
  8. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Marais ambao ndugu zao walishika nyadhifa za juu serikalini wakati wa utawala wao

    Hiyo namba 6, ina maana anayeenda(ga) Uganda na Urusi na convoy ya gavoo, kumbe sio ndugu?
  9. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Jinsi dhana ya "Utatu" na Mungu kuwa na "Mwana" inavyomshusha hadhi Mwenyezi Mungu

    Kwanini aweze kufanya atakalo halafu nyie mumkataze kuwa na mwana? Nani aliyeamua kuwa hilo aliwezekane na haramu kwake? Mwezi ni ishara kubwa ili watu waweze kusujudu, angalau naona ikitendeka hivyo, lipo jiwe takatifu linazungukwa na kupewa busu, KUSUJUDU ni kufanya nini? Hakuna sababu ya...
  10. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Ticket Air Tanzania sio Fair

    Zile bei za FastJet ziliwezekana vipi? Au ndo yale ya kodi ya sukari na mafuta?
  11. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Waliochangia Mabilioni Kampeni za CCM ndo wenye ICD katikati ya Mji Dar

    Kwahiyo Katiba inayotumika nchini ni ipi? Ya Chama? Ile iliyofanyiwa maongezo baada ya kuungana? Au ILANI? Nilidhani SIASA na BIASHARA hazipaswi kuchangamana?
  12. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Mapadri na wanatheolojia wakatoliki mbona mnatofautiana kuhusu Utatu Mtakatifu?

    Kabla ya maneno ya kashfa(MPUMBAVU, WAPUMBAVU), unge-halalisha unachoamini kuhusu NAFSI kuwa ni maana Universal kwa ushahidi kisha ndo uendele na UPUMBAVU wowote ule uliokusudia kuuweka bayana, ingekaa vizuri sana!
  13. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Mabalozi wameshuhudia uzuri wa Katiba yetu, tunaweza kubadili nafasi kubwa bila misukosuko

    "Hakuna shule inayosomesha umakamu wa raisi" Ningependa kufahamu shule za wote waliojiuzulu, chamani ana serikalini kwa kipindi cha raisi wa awamu hii dhidi ya wale walioteuliwa kuziba nafasi hizo, kwa yeyot mwenye taarifa!
  14. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania CRDB Mungu anawaona. Mnatunusisha mahela halafu mnayatoa

    Kama ni mtandao wa CRDB uko chini/haufanyi kazi kwa wakati huo, basi hakuna mahali utaweza itumia hiyo kadi, mawasiliano hakuna.
  15. Ndalilo

    JamiiForums Tanzania Fundisho la Upatanisho Halikufundishwa na Yesu Bali Lilibuniwa na Paulo

    Umechochora tena, unajibu kwa hisia kipande kimoja! Mada yako imekuzidi uwezo.
Back
Top Bottom