Majibu hayo ni kama kuambiwa u-mgumba; ukijua ni mateso, usipojua ni mateso, huna unaloweza kufanya.
Yooote wanayoyajua watanganyika kuhusu ccm, kuna wanaloweza kubadili? Wameshawahi kufanya jambo tofauti?
Kwahiyo unasema hizo dini zikitokea magharibi na mashariki ndio msingi wa mavazi sio?
Baada ya hapo, unasema tuache kuvaa kulingana na hao wa kimagharibi na kimashariki sio?
Wamagharibi, wana evelve na mavazi yao, elimu na mtindo wa maisha yao...tunaoenda kuwafuata kwaajili ya elimu...
No, namaanisha...kama uislamu ulianza baada ya Mudy kufikisha miaka 40 duniani, mavazi ya akina Sikujua yalikuaje huku?
Yaani, kabla ya biashara ya watumwa na utawala wa sultani, mavazi yalikuwa ni yapi?
Lakini haya mambo si inategemea tu na mtu?
We umejuaje kuwa huyo aliyevaa kilemba na gauni ni Muislamu na huyo mwingine ni Mkristo?
Wale waarabu wanaocheza na vigwaya tu, chupi na vishanga vya kuning'inia, hawa ukiwahukumu moja kwa moja, unaweza kueleweka; wanaishi kwenye Shariah hawa.
Kwa tawala zote zilizowahi kuwahi kuwepo, ufisadi mkuu uko Zanzibar.
Kwa miaka kadhaa wamekuwa na bajeti ya bilioni 480 kwa mwaka wastani, kuanzia kwa miaka ya Magu, ndo ikawa trilioni 1.
Hoja sasa, ardhi inaukubwa gani ile kushindwa kuwa Dubai mpya kwa miaka 5 tu ya bajeti ya trilioni 1 kwa...
Haya mambo ya kutishia tishia mpaka mmewafanya hawa wa KIJANI kuwa sugu sasa...
Ukimsikilizia Mpina utadhani hapo hapo...hola
Mara anatokea Gwaji, unasema kesho kinawaka...hola
Vuuuum, slo slo huyu...imegeuka shule na ushauri nasaha
Wale wa humu nao washapoteana...wamebaki kujifariji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.