mi mwnafunz chuo na npo kawe ila kama mda wa kutembelea shamba ntakuepo nao ila kushinda ntaweza kasoro tu kulala hko mm npo kawe dam
naomba ntumie nmb zko pm ili uweze kunipa maelezo vzur ata nkipata maeneo mazur unayoyajua ww sawa tu
asante kwa hlo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nina mtaj wa 650000. Je nlikua naomba mnijuze kilimo gani kwa bei hiyo itafaa? au
kama kuna biashara nyingine nzuri inayolipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wanaJF
Mimi ni kijana wa miaka 22. Ndoto zangu ni kufungua kibanda cha chipsi na mtaji ninao kama laki 7 hivi.
Naombeni msaada wa eneo la kuanzisha biashara hii hapa Dar. Hata nikipata kakibaraza cha kukodisha sawa tu au nikipata sehemu local local za uswahilini penye uhakika wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.