Ninaomba ushauri nahitaji kununua incubeta kwa ajili ya kutotolesha mayai naomba nijue ni haina gani ya incubeta inafaa na mchanganuo wa bei hata zinapopatikana
Hiyo kampuni ni ya kitapeli nilishawai kuqafuata maelezo waliyonipa na maswali niliyowauliza niliona ni matapeli kabisa
Wanadai kila mwanachama atakayejiunga nao atapata mtaji wa bil 1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.