Recent content by Ndagaramjasiliamali

  1. N

    Nipo Dar, Nahitaji mbegu nzuri ya sungura

    Naomba kuuliza pia soko la sungura likoje?
  2. N

    Incubeta

    Ninaomba ushauri nahitaji kununua incubeta kwa ajili ya kutotolesha mayai naomba nijue ni haina gani ya incubeta inafaa na mchanganuo wa bei hata zinapopatikana
  3. N

    Kilimo Biashara na kampuni ya Namaingo Business Agency

    Kaka hiyo ni bilion sio milion ndomaana nilisema ni matapeli
  4. N

    Msaada kwenye incubator

    Mayai ya bata yanachukua mda mrefu kutotolewa tofauti na kuku labda unayatoa kabla ya mda
  5. N

    Kilimo Biashara na kampuni ya Namaingo Business Agency

    Ni matapeli kama anakataa aje hapa nimuulize maswali kadhaa na nitaweka audio ya mazungumzo niliyofanyanao kwa mda wa saa moja na nusu
  6. N

    Nataka nifuge Kuroiler niwauze Chrismass

    Ninawaitaji tuwasiliane 0752815213
  7. N

    Nataka nifuge Kuroiler niwauze Chrismass

    Ninawaitaji hao kuku tuwasiliane 0752815213
  8. N

    Kilimo Biashara na kampuni ya Namaingo Business Agency

    Hiyo kampuni ni ya kitapeli nilishawai kuqafuata maelezo waliyonipa na maswali niliyowauliza niliona ni matapeli kabisa Wanadai kila mwanachama atakayejiunga nao atapata mtaji wa bil 1
  9. N

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    0752815213 naomba uni add kwenye group la nguruwe
Back
Top Bottom