Recent content by Nchiyanguu

  1. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Mwenye connection ya kazi ya security

    Kuna kazi ya kutunza kuku wa mayai mshahara 150k kula na kulala Kwa boss
  2. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa KUEZEKA/KUPAUA/ROOFING hii changamoto inatatuliwa vipi?

    😅 acha wajuzi waje Bibi
  3. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Jambazi Sugu "BANJOO" larudi uraiani

    Na kweli wamesema mfanyabiashara mkubwa wa madini amekufa. Kumbe alikuwa jambazi ndio nimejua kupitia huu Uzi wa miaka 13 iliyopita
  4. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Jambazi Sugu "BANJOO" larudi uraiani

    Anza kusoma mwanzo wa Uzi 2013
  5. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Mtafuta kazi?

    FURSA FURSA Natatafuta vijana wanaoweza kufanya kazi za kutunza mifugo kama ng'ombe, mbuzi, Kuku Nk Majukumu: 1.Kuandaa malisho ya wanyama. 2.Kulisha wanyama. 3.Kukamua maziwa. 4.Usafi wa Banda la wanyama. Mshahara: 100,000 Kula, matibabu na kulala buree Vigezo: 1.usiwe na umri wa zaidi...
  6. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Fursa ya kazi kwa kijana anayeweza kutunza mifugo

    Bado nahitaji vijana
  7. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Fursa ya kazi kwa kijana anayeweza kutunza mifugo

    Sawa Mkuu, Asante pia
  8. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Fursa ya kazi kwa kijana anayeweza kutunza mifugo

    FURSA FURSA Natatafuta vijana wanaoweza kufanya kazi za kutunza mifugo kama ng'ombe, mbuzi Nk Majukumu Kuandaa malisho ya wanyama Kulisha wanyama Mshahara: 100,000 Kula na kulala buree Vigezo: usiwe na umri wa zaidi ya miaka 22 Piga:0765 049 904
  9. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Niambie wanyama watatu unaowapenda Sana huchoki kuwaona

    Ng'ombe, Mmbwa na mbuzi
  10. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Je inawezekana kuhama Tume ya utumishi wa Mahakama kwenda taasisi nyingine Kwa kubadili level yako ya Elimu uliyoajiriwa mwanzo ?

    Kivipi mkuu? Maana tangazo la ajira liliwekwa kwenye web ya utumishi na majina
  11. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Je inawezekana kuhama Tume ya utumishi wa Mahakama kwenda taasisi nyingine Kwa kubadili level yako ya Elimu uliyoajiriwa mwanzo ?

    Tangazo lilikuja linataka mtu mwenye Elimu ya kidato cha nne hivyo akatumia cheti cha form 4 tu. Ubaya degree yake hawezi fanya kazi Tume ya utumishi wa mahakama ni mpaka tasisi nyingine kama Tanroads, WMA, TBC nk
  12. Nchiyanguu

    JamiiForums Tanzania Je inawezekana kuhama Tume ya utumishi wa Mahakama kwenda taasisi nyingine Kwa kubadili level yako ya Elimu uliyoajiriwa mwanzo ?

    Ndio mkuu anafanya kazi kama form 4 na mshahara kiduchu sana, japo Elimu yake ni degree.
Back
Top Bottom