Katoro ni pazuri sana kwa biashara ni eneo ambalo watu kutoka maeneo mbalimbali wanafuata bidhaa,after Mwanza na Kahama, Katoro ni next kwenye ukuaji Kanda ya ziwa, miji kama Bukoba, Kigoma, Nyakanazi, Runzewe, Biharamulo, Geita, Wafanyabiashara wake wanafuaata bidhaa katoro