Recent content by nchitz

  1. N

    PreGE2025 Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

    Kumbe na ww mweupe kichwani kiasi hicho, aisee sikutegemea mtu kama ww kuleta porojo kama hizi kama vile hujasoma na kuelewa democrasia inavyotakiwa, bro ww ni miongoni mwa wanafiki wakubwa sana.
  2. N

    Wakala wasukari kg50 sukari ya nje yanchi

    Kwa mwanza nenda kwenye metl
  3. N

    PreGE2025 Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini

    Fara sana,aise kumbe alikuwa mjinga kitambo sana,hoja zake hazina mashiko yoyote ni pumba tu.
  4. N

    Safari ya miaka 9 tangu kuacha kazi. Hamasa kwa vijana wenye maono makubwa

    Mm nimeogopa sana mateso uliyopitia,pole sana
  5. N

    Mauzo yanavutia lakini kwa faida ya laki 8 na matumizi laki 7 na elfu themanini nimehitimisha najitekenya, nimekubali kipigo till next time

    Mi nadhani lengo la Uzi ni kudiscourage biashara na kutetea ajira kuwa ni Bora kuliko biashara,si Kila mtu lazima afanye biashara wengine nyota yenu ni kuajiriwa
  6. N

    Katoro ni Business center inayokua kwa kasi ya ajabu

    Katoro ni pazuri sana kwa biashara ni eneo ambalo watu kutoka maeneo mbalimbali wanafuata bidhaa,after Mwanza na Kahama, Katoro ni next kwenye ukuaji Kanda ya ziwa, miji kama Bukoba, Kigoma, Nyakanazi, Runzewe, Biharamulo, Geita, Wafanyabiashara wake wanafuaata bidhaa katoro
  7. N

    Walimu wa Tanzania na passive resistance

    Hali ni mbaya sana,Kuna mtoto unamfundisha unaamini necta hatoboi,cha kushangaza matokeo yakija ana division 1,usahishaji wa mitihani nao Kuna changamoto,kiifupi elimu imeingiliwa,tusifurahie matokeo kwani hayaakisi uwezo wa mtoto,kiufupi Gori limetanuliwa Kila mtu afunge
  8. N

    Naombeni wazo la Biashara kwa mtaji wa kati ya Milioni 2-3 kwa Dar es Salaam

    Ngumu sana juzi nilicheki kamisheni yangu ilikuwa inasoma 370000 majanga nimechek Leo inasoma 162000 nimeasiliana nao et wananambia nimefanya miamala feki,nimewachukia sana voda
Back
Top Bottom