Chonde chonde Rais wetu mpendwa mrejeshe huyu jembe, kumbuka Mambo ya vikokotoo mwasisi na mtetezi wa kikokotoo!!!! Huyu jamaa ataleta Imani kubwa Sana mrejeshe
Ombi langu kwa Rais wetu mpendwa Kama ikimpendeza amrudishe huyu Waziri kwenye Wizara maana aliitendea haki Sana Sana. Mheshimiwa Rais tunakuomba Sana sana
Huyu mheshimiwa alifiti Sana na ailitenda haki kwenye ile wizara, Rais wetu mpendwa unaesikiliza wananchi wako tunakuomba, tunakusihi mrejeshe huyu mheshimiwa kwenye ile wizara, huyu mwingine mpeleke kwingineko. Tunakuomba Sana Rais wetu.
Namwombea Rais wetu kwa Mungu awe na moyo wa maono maana inavyoonyesha Kuna mtafaruku unanukia, Ila sisi wananchi Tuko nyuma yako Rais wetu tuna Imani kubwa Sana na kwa uweza wake Allah utatufikisha mbali Sana
Namwombea Rais wetu kwa Mungu awe na moyo wa maono maana inavyoonyesha Kuna mtafaruku unanukia, Ila sisi wananchi Tuko nyuma yako Rais wetu tuna Imani kubwa Sana na kwa uweza wake Allah utatufikisha mbali Sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.