Recent content by NCHABHILONDA

  1. N

    There shall be a day!

    What a nice poem! Hope it goes well with you!
  2. N

    Vincent Nyerere ampa Mkapa vidonge stahiki

    Kweli nimeamini kuwa, Kila mchuma janga hula na wakwao. Hili watalila magamba!
  3. N

    Madaktari wamuweka JK kikaangoni! Ni kuhusu uamuzi wa kumfukuza kazi Dr Mponda

    Haya yote yana mwisho! Wanachopaswa kutambua ni kuwa 'hatesi mtesa akafululiza.' Itafika wakati kusafiri hakutasaidia. Itakuwa vizuri akitambua kuwa 'kurukaruka si dawa ya ulimbo!'
  4. N

    Madaktari wamuweka JK kikaangoni! Ni kuhusu uamuzi wa kumfukuza kazi Dr Mponda

    Haya yote yana mwisho! Wanachopaswa kutambua ni kuwa 'hatesi mtesa akafululiza'. Itafika wakati kusafiri hakutasaidia. Itakuwa vizuri akitambua kuwa 'kurukaruka si dawa ya ulimbo!'
  5. N

    Je, ITV ni Huru ama inatumiwa na wanasiasa?

    Tatizo nililoliona ni wachangiaji wengi kutoka nje ya mada. Mada ilitaka maoni iwapo kitendo cha polisi kutumia silaha za moto na hatimaye kuua waandamanaji ni kukiuka haki au vinginevyo. Hata hivyo badala ya kutoa hoja kulingana na mada wachangiaji wakawa wanawashambulia wanaharakati kuwa...
Back
Top Bottom