Kwa maana hiyo wewe unataka kutuambia wasomali na waethiopia sio wenzetu????? Hahaha kwa taarifa yako ni wenzetu, ustaarabu ulianzia Sudani kusini hapo, kisha zimbabwe awal zaidi Africa kusini Wala mgawanyo huu na majina ya mabara na nchi hayakuwa hivyo zamani..
hata muhindi huyo mchina...
Hadithi Mathieu ziluizoandikwa na wayahudi, kuwahusu wayahudi maamuzi kwa ajili ya kuwatawala wasiokuwa wayahudi, ndio kinaitwa Biblia. Kinshasa uongo kuanzia mwanzo mpaka mwisho.....ngano kama na delays kama Za Abunuwas
Mnahangaikia hivi mnajua kwanza hizi ni dini changa tu...hazija maliza hata miaka 3000 kwa pamoja...mnashindwa nini kukubali kwamba misingi yake ni ibada asilia kongwe zaidi za binadamu mweusi baba wa mataifa????
As the transatlantic trade developed, ships' captains and plantation owners brought Africans back to the countries of Northern Europe. They sold them to work, mainly as domestic servants. Many were children.
'Dear Mama, George Hanger has sent me a black boy eleven years old and very honest, but...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.