Dah we jamaa umegusa sana upande wetu wanasingida, ukiangalia upande wa magharibi kule kiomboi hali ni mbaya sana hata mbunge wetu mwigulu nchemba sioni anachokifanya zaidi ya kuongea kinyiramba tu..
ile lami ya kutoka misigiri mpk kiomboi baada ya kujengwa hakuna kingine kilichoendelea vijiji...
tatizo lako uliyeandika huu uzi una ushabiki wa chama ,alivvyosema bibi kidude nadhan ulielewa alimaanisha nini,ila kwasababu ya ushabiki wako unakuza mambo....
hiyo ni lugha ya kisiasa
Hili ndio tatizo kubwa sana serikali yetu huwa inafanya
kama tamko lilitoka kitambo kwenye tar 3 kabisa na waziri akasema application zianze tar 7 hizo siku 4 zote walikuwa wap kufanya access ya mitandao ili kutoa usumbufu kama huu?
Swala LA ajira sio dogo kama wanavyodhani watu wengi wahitimu...
SISI CCM SIO WAJINGA PIA;
upanuzi wa Barabara unaousemea kutoka kibaha mpaka ubungo unafaida kubwa kwetu sisi wafanyabiashara na kwa wanaofanya kazi katikati ya jiji LA dar es salaam kwa sababu inaturahisishia uharaka wa kufika kwenye vituo vya kufanyia kazi ili kujipatia kipato chetu na taifa...
Habari wana JF Mimi ni mwanachuo katika chuo kikuu cha st Joseph kipo mbezi kimara,Dar es salaam.
Nahitaji partner .ambae tunaweza kufanya biashara pamoja ya kuuza mafuta ya alizeti kwa sababu Mimi ni mwenyeji pia wa mkoa wa singida na mafuta yanapatikana kwa wingi huko.
no yangu ni 0657169715...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.