yan ccm wakishinda saaaana mwaka huu watashinda kwa kishindo cha asilimia 51% kitu ambacho hakijawahi kutokea ,the competition this year is REAL na huo ndo utamu wa uchaguzi...CCM hawjawahi kua kenye hali mbaya kama sasa hivi for real
piga kimya kampeni muda mdogo mtu mikutano minne kwa siku unataka aongee siatakufa ongea kidogo tu eleweka chanja mbuga na kura anapewa za kubebwa kwa macontena..
sisi tuna mahaba na mabadiliko
woooh thats nice ila nanukuu what american people said during their election 'we don't care weather there will be development or not ,we jus wanna show the world that black and white people are all equal''...natamani Tanzania ionyeshe dunia kua CCM sio maisha ya watanzania ,other political...
mi nilichosikia ni kwamba wanazuiwa kuzindua campain kufanyikia viwanja vya jangwani et kwa sababu siku iyo shughuli za ccm zitakua zinaendelea pia...gazeti la leo asubuhi limesema ivo ila halijaongelea habari za tv kuzuia,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.