Maingizo mapya kwa Simba ni mengi na wote wazuri na umri wao wengi ni wadogo.
Simba aijasajili wazee kama Ntibazonkiza na wakina Bangala.
Subirini mtapelekewa moto muda si mrefu.
Boco na Kagere iyo pacha lazima biashara wafe.ukuta wa Simba kuanza Kenedy na Inonga Manula apewe kiti cha pwani kile cha kulala.
Ghazwat OKW BOBAN SUNZU Kalpana BRN Mshana Jr Utopologist na wanasimba wote mnyama anaanza kazi rasmi huku ya kuchukua tena ubingwa wake.
Hii ndo tofauti ya mashabiki wa Simba na Yanga.
Simba wanajua shida ni baadhi ya wachezaji,vuta picha ingekua upande wa pili wangefungwa.tff,body ya ligi au uongozi wao wasingepumua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.