Recent content by Navigator21

  1. Navigator21

    Magufuli: Kila atakayetaka kuiokoa nafsi yake atapoteza...

    Maajabu haya! Yaani wewe mjinga usiye na dalili ya akili unawapuuza watu? Jayo mamlaka amekupa nani? Kwenye Corona wafuasi wa jiwe mnatia huruma kweli yaani Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  2. Navigator21

    Rais Magufuli aidha amedanganywa kuhusu Barakoa au kuna tatizo sehemu (kwa alichoongea leo Feb 21, 2021)

    Huna akili mpuuzi,almanusura nitapike aisee Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  3. Navigator21

    Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

    Nakiri wewe Dada una tatizo kichwani! Sikupangii cha kufanya ila nimejizuia kusema mara nyingi sana! Jaribu kumuona hata psychiatrist atakusaidia. Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  4. Navigator21

    Help for Coordination Chemistry (Practical questions)

    Hebu kuwa serious kidogo basi Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  5. Navigator21

    Nina tatizo la kutoisha mkojo, nikimaliza kukojoa nikikaa baada dk 20 naskia mkojo tena. Nikimaliza kukojoa mwisho matonematone hutoka

    Diabetes insipidus sio kisukari mzee, kisukari ni Diabetes mellitus. Vitu viwili tofauti kabisaa Nenda hospitali utapata tiba Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
  6. Navigator21

    Nina tatizo la kutoisha mkojo, nikimaliza kukojoa nikikaa baada dk 20 naskia mkojo tena. Nikimaliza kukojoa mwisho matonematone hutoka

    Kwa dalili zako, haraka haraka unaweza ukawa na ugonjwa wa DIABETES INSIPIDUS(chanzo inaweza ikawa ni figo(nephrogenic)nau ni ubongo (central) ) fika MUHIMBILI watakufanyia vipimo na kukutibu tatizo lako]
  7. Navigator21

    UTU: Ubalozi wa Marekani wasaidia ujenzi wa vyoo vya kisasa kwenye shule za Iringa na Morogoro

    Haishangazi nchi yenye uchumi wa kati kuwa na shule zenye vyoo kam hivyo?
  8. Navigator21

    Double Standards: Waliokosea kuapa walikuwa wawili lakini mkosaji akawa mmoja

    Mama wa 50/50 eti! Kumbe unajua kwamba huo usawa haupo kwenye dunia hii
  9. Navigator21

    Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

    Naona unateseka hapo kusafisha uharo wa Mwenyekiti wako! MITANO TENA[emoji112]
  10. Navigator21

    TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

    Kwani Chegere alisoma physics? Si nasikia alisoma EGM
  11. Navigator21

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra...

    Huo ushauri hapo juu nimeandika kwa ajili ya wanaume,sijajua wewe kimekuuma nini mkuu.! Isitoshe sijakutaja wala kukuhusisha kwenye maneno yangu hapo juu. Kuhusu hiyo part ya mama yangu,ngoja nikuache tu
  12. Navigator21

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra...

    Inshort umeongea ukweli mkuu! Mwanamke unakuta amekojolewa na wanaume kibao huko! Halafu eti njia hiyohiyo anakuzalia mtoto wako! Huyo mtoto anaishia kuwa na tabia chafu na tabia za ajabuaajabu. Wanaume tafuteni wanawake mabikira wawekeni ndani! Utazaa watoto safi na utafurahi mwenyewe!
  13. Navigator21

    Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

    Hebu jaribu kumuona Daktari wa akili mkuu! Kuna shida sehemu yako ya ubongo
Back
Top Bottom