Maajabu haya! Yaani wewe mjinga usiye na dalili ya akili unawapuuza watu? Jayo mamlaka amekupa nani?
Kwenye Corona wafuasi wa jiwe mnatia huruma kweli yaani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nakiri wewe Dada una tatizo kichwani! Sikupangii cha kufanya ila nimejizuia kusema mara nyingi sana! Jaribu kumuona hata psychiatrist atakusaidia.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Diabetes insipidus sio kisukari mzee, kisukari ni Diabetes mellitus. Vitu viwili tofauti kabisaa Nenda hospitali utapata tiba
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa dalili zako, haraka haraka unaweza ukawa na ugonjwa wa DIABETES INSIPIDUS(chanzo inaweza ikawa ni figo(nephrogenic)nau ni ubongo (central) ) fika MUHIMBILI watakufanyia vipimo na kukutibu tatizo lako]
Huo ushauri hapo juu nimeandika kwa ajili ya wanaume,sijajua wewe kimekuuma nini mkuu.!
Isitoshe sijakutaja wala kukuhusisha kwenye maneno yangu hapo juu.
Kuhusu hiyo part ya mama yangu,ngoja nikuache tu
Inshort umeongea ukweli mkuu! Mwanamke unakuta amekojolewa na wanaume kibao huko! Halafu eti njia hiyohiyo anakuzalia mtoto wako!
Huyo mtoto anaishia kuwa na tabia chafu na tabia za ajabuaajabu.
Wanaume tafuteni wanawake mabikira wawekeni ndani! Utazaa watoto safi na utafurahi mwenyewe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.