Hakuna Benki zinazofanya Biashara ya hasara mkuu kamà ya kumuoa Mwanamke Mburula kamà huyo ambaye hajishughulishi,kumtegemea mwanaume tu,wew shost umeisha hakna Benk kuoa hapo
Pole sana,lakn wew una makosa maana kilchokufanya uhamie kwake mojawapo ilikuwa kupunguza gharama za maisha yaan kodi ya Nyumba,chakula na kadhalika,naamn ungeendelea kukaa kwako na kuwa na msimamo angekuoa lkn sahiv kakuchoka .
Cha kufanya,kwa kuwa umeshajua nn malengo yake kwako,tafuta wamama...
Mkuu hicho ulichokifnay ulikusudia maana kwann ulimruhusu alale!?naamn ulimshawish kamà skosei lea mimba,lasivyo utapata laana maana mtt hana kosa wew ndio mwenye kosa
Bro sumu huyo,mke wa mtu ,masuala ya hamnaga ushemeji ni kuburudisha tu,aisee utachomwa moto jikaze kuwa serious.
Wew si una mkeo ,na anakupa kila kitu huyo ni Mke wa mtu tena jiran,kumbuka ukimla na wew ataliwa vile vile hata kamà mbali na inauma sana
Kila laheri lkn mrejesho Tafadhali...
Brazah nakupa big up aisee!!!hawa Dada zetu wamezid imeandkwa wap kuwa ukikutana nae inatakiwa umlipie nauli ,dadadekiiiii hata mm nisingemlipia hapa min watu tunaish kwa mahesabu tu,kwa siku shilng kadhaa na kwa mwez had mwaka
Jaman kusoma hamjui hata picha,pls over pls nawaomba wana jf msijaribu kabsa kitu hicho .
Maana in real sense hiyo ni njia itakayokuunganisha wew na shetan,hakuna anayejua kesho hapa dunian syo kweli.
Na wew mtoa thread,syo vzr kuupotosha umma mkubwa hivo kisa mapenz yana nguvu kubwa that's not true
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.