Bandiko mujarabu kabisa Pasko! Tunayoahidi kwny platforms za kimataifa ni lazima tuzitekeleze kwa vitendo. Charity begins at home. Ila Pasco mwalimu wangu shule ya msingi alituambia wingi wa JIKO ni MEKO. Kamusi yako inasemaje maana mi sina.
Tupe mapato na matumizi ya zile tozo za miamala ulizoongea bungeni kuwa mnaenda kujenga shule na zahanati. Kama mnakuja na proposals nzuri na utekelezaji unakuwa sifuri namna hyo ni nani atawaamini mkija na hoja nyingine inayohusu kodi? Tupo vijijini huku lakini tunafuatilia nini kinendelea...
Kyela Kyela loooooooo! Hakuna sehemu wanakata umeme duniani Kama Kyela! Sitasahau hyo wilaya milele! Nilikaa huko napajua, huwa nawaambia watu ukitaka kujua namna uneme ni shida, nenda Kyela. Pole mkuu.
Kama ukifuata utaratibu wa kumpata mke/mume kutoka kwa Mungu Kama neno la Mungu linavyosema ( mithali 31:10...... ) Unaweza kuvumilia hadi ndoa, maana Mungu hawezi kukupa kitu kinyonge. Lakini kama mmekutana nje ya utaratibu wa Mungu ni nini kitakachowazuia kungonoka kabla ya ndoa? Jibu ni hakuna.
Duuu mjadala mtamu kweli, mtazamo wangu Mimi Ni huu kulingana na kumbukumbu la torati 12:5-17 inaelekeza zaka itolewe mahali atakapopachagua Bwana, kwa mfano mlawi, yatima, mjane, mgeni na Malaki 3:10 inaelekeza ghalani au kwenye nyumba ya Mungu au kanisani. Sasa utajuaje upeleke wapi? Ni lazima...
Wengi tunamhukumu mwandishi lkn nafkiri hatujasoma bandiko hili vizuri, naungana na Pascal moja kwa moja. Kama nchi tungeweza fanya wenyewe lkn tuna mifumo thabiti ya kusimamia taasisi hizi? Tuna vyombo Kama TAKUKURU, TISS, hata mahakama je ni independent? Mentality za watanzania wengi ni...
Jamaa yangu kati ya mwaka 2011 au 2012 aliwahi kuniambia kuwa kigogo mmoja (kwa sasa ni mstaafu) alisema laiti hoja ya kugawa nchi kimajimbo ingeletwa na mwanaccm yumkini serikali ingelichukua wazo hilo na kufikiri namna ya utekelezaji wake, lakini kwa sababu wazo lilitoka upinzani wala hawana...
Kwa wale waliofuatilia uchaguzi wa Tanzania mwaka 2020 uliomwingiza JPM madarakani wataungana nami kuwa utolewaji wa taarifa za kampeni nchini kupitia ITV ulinogeshwa zaidi na waandishi tajwa hapo juu kwa umahiri wao ktk utoaji wa taarifa.
Ilikuwa ikifika saa mbili usiku kuna watu walikwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.